FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 138
- 282
Kuiuza haitakua kazi rahisi labda atafute watu wa SimiyuUza, nunua mpya.
Na Bariadi 😂😂😂😂Kuiuza haitakua kazi rahisi labda atafute watu wa Simiyu
Awatafute hao hao awauzie, au akauze kwa mafundi kama chuma chakavu oooops sorry I meant akauze kwa mafundi wachambue vilivyo muhimu kwao na ghasia zitakazobaki zitatupwa.Kuiuza haitakua kazi rahisi labda atafute watu wa Simiyu