sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
Habari ya mchana wakuu,
Wenye ufahamu na biashara ya mazao naomba tupeane ABCD hapa. Kuhusu ununuaji, uuzaji vitu vya kuzingatia masoko n.k wa mazao mfano Mahindi.
Tufundishane pia jinsi ya kuanza chini (start low) kwa wasio na capital, njia za kupita na hatimaye kufanikiwa.
Wenye ufahamu na biashara ya mazao naomba tupeane ABCD hapa. Kuhusu ununuaji, uuzaji vitu vya kuzingatia masoko n.k wa mazao mfano Mahindi.
Tufundishane pia jinsi ya kuanza chini (start low) kwa wasio na capital, njia za kupita na hatimaye kufanikiwa.