Wajuzi kwenye biashara ya mazao

Wajuzi kwenye biashara ya mazao

Asante Mkuu hii nilishawahi ifanya ila kwakua kazi yangu ilikua kuagiza nilidhurumiwa nalipwa kidogo kidogo hadi leo pesa ya toka mwaka jana mwezi wa 10 na nahisi silipwi tena ,cha msingi katika hizi mazao nadhani unahitaji kujiengage mwenyewe ila sasa kwa walioajiriwa changamoto inaanzia hapo,wenzetu mnafanyaje?
Hii biashara ni nzuri ukiingia mwenyewe ni juu yako kuchagua kimojawapo biashara au kaz
 
Asante Mkuu hii nilishawahi ifanya ila kwakua kazi yangu ilikua kuagiza nilidhurumiwa nalipwa kidogo kidogo hadi leo pesa ya toka mwaka jana mwezi wa 10 na nahisi silipwi tena ,cha msingi katika hizi mazao nadhani unahitaji kujiengage mwenyewe ila sasa kwa walioajiriwa changamoto inaanzia hapo,wenzetu mnafanyaje?
Uaminifu ni zero kabisa kwetu mkuu....
Mimi mwenyewe nimeanza biashara moja ya viungo Yule aliyenipa mchongo nahisi ananingiza Chaka,ila namskilizia Lkn nitamfanyia kitu ato sahau

Ova
 
Andaa mtaji wako kadri uwezavyo zama mtwara msimu ni mwez wa tisa mpaka wa kwanza mwanzoni.
Utanunua kwa wa kulima kwa bei kati ya 1500-2200 per kg na utauza ghalani kwa njia ya mnada kati ya 3600-4000 kulingana na soko likoje.
Hili ni kwa zao la korosho.
Maeneo zinako patikana kwa wingi ni nachingwea, masasi, tandahimba, liwale n.k kimsingi ukikomaa vizuri unatoka.

Mwez wa NNE mpk wa sita kuna zao la ufuta utanunua kwa 1500-1700 utauza 2200-2800 kulingana na soko likoje.

Nimeshea ninacho fahamu ngoja wengine waje
MKUU nakuomba pm
 
Uaminifu ni zero kabisa kwetu mkuu....
Mimi mwenyewe nimeanza biashara moja ya viungo Yule aliyenipa mchongo nahisi ananingiza Chaka,ila namskilizia Lkn nitamfanyia kitu ato sahau

Ova
Akikuketea usenge mnyooshee sipendi nawachukia watu wasio waaminifu
 
Mchele ni Morogoro na Mbeya. Kwa upande wa Maharage ni Songea, Tanga na Arusha.

Kuhusu bei, sio fixed na inategemea na kipindi husika.
Makadirio ya bei kwa sasa yakoje mkuu?
 
Hii biashara ni nzuri sana,kutunza mazao ndani ukisubili yapande bei ipo siku utalia kilio cha mbwa koko kama nilivyolia mimi mwaka juzi,Sisi huku unaingia kijijini kabla hujanunua unaulizia town bei gani lets say kijijini mahindi debe ni tsh.3000/= na town ni tsh 4000/= so unanunua hata debe 100 asubuhi jioni unaziuza town cha juu ndo faida,na kesho mzigoni tena kama kawa ukizungusha mara tano uko mbali sana
 
Andaa mtaji wako kadri uwezavyo zama mtwara msimu ni mwez wa tisa mpaka wa kwanza mwanzoni.
Utanunua kwa wa kulima kwa bei kati ya 1500-2200 per kg na utauza ghalani kwa njia ya mnada kati ya 3600-4000 kulingana na soko likoje.
Hili ni kwa zao la korosho.
Maeneo zinako patikana kwa wingi ni nachingwea, masasi, tandahimba, liwale n.k kimsingi ukikomaa vizuri unatoka.

Mwez wa NNE mpk wa sita kuna zao la ufuta utanunua kwa 1500-1700 utauza 2200-2800 kulingana na soko likoje.

Nimeshea ninacho fahamu ngoja wengine waje

Mwambie afanye haraka mambo yameanza huku
 
Kwa ambae ana mtaji, biashara ya karanga na mahindi inalipa sana hasa karanga, kuna mkoa wa tabora vijijin unanunua karanga za maganda unakoboa unapeleka kichele wilaya ya kahama mjin, kuna masoko mengi ya kalanga pia kama ukiwa na mtaji mkubwa unaweza kupeleka machine ya kukoboa karanga gunia moja la maganda unakomboa kwa buku moja.

lita tano ya mafuta unaweza kukoboa zaid ya gunia 70 kwa masaa 4 hapo faida kama 58000. kuna fulsa nying sana ndugu zangu mimi nimeifanya hii biashara, mwezi wa pili mwishon karanga zitakuwa zimeiva. nina mengi ya kuelezea lakini nimeanzima simu hapa maana smat phone yangu niliibiwa jana. najipanga ninunue nyingine.
 
TONY LOVE

mkuu shukrani sana, ningependa kujua tabora wilaya gani ikiwezekana na majina ya baadhi ya vijiji ambako karanga hupatikana kwa wingi.

Pia, vipi kuhusu changamoto ya usafiri kutoka huko mashambani mpaka mashineni.
 
Nina
Kwa ambae ana mtaji, biashara ya karanga na mahindi inalipa sana hasa karanga, kuna mkoa wa tabora vijijin unanunua karanga za maganda unakoboa unapeleka kichele wilaya ya kahama mjin, kuna masoko mengi ya kalanga pia kama ukiwa na mtaji mkubwa unaweza kupeleka machine ya kukoboa karanga gunia moja la maganda unakomboa kwa buku moja. lita tano ya mafuta unaweza kukoboa zaid ya gunia 70 kwa masaa 4 hapo faida kama 58000. kuna fulsa nying sana ndugu zangu mimi nimeifanya hii biashara, mwezi wa pili mwishon karanga zitakuwa zimeiva. nina mengi ya kuelezea lakini nimeanzima simu hapa maana smat phone yangu niliibiwa jana. najipanga ninunue nyingine.[/QUOTEnina 3 million naweza kuanza hii biashara
 
@TONYLOVE,karanga huko bei gani kipindi cha msimu?
 
Back
Top Bottom