Mungu ni mwema leo rasmi nimekuwa mmoja wa familia kubwa ya Jamii forum.. Nimevutiwa na Mada na fursa mbalimbali ndani ya jukwaa huru.. Hongereni sana watangulizi mchango wenu nimkubwa sana.. Kama kijana nitarajia mengi mazuri kutoka kwenu Wajumbe.. NAOMBENI MNIPOKEE