Wajumbe ccm watishia kujiuzulu

Wajumbe ccm watishia kujiuzulu

Naomba aanze kujiuzuli Abas Mtemvu wa Temeke!!! Hana lolote analofanyia lile jimbo, tumbo mbele tu!!
 
gamba sijui watajuvua nini? tusubili maana kitakachofuata itakuwa nikitu kinge wala sio gamba tena
 
kampen ya kuficha gamba kwa gwanda
Fisad akiwa ccm akihamia cdm mtakatifu...aibu hii
 
hayo wanayosema yalikuwepo ndani ya chama chao kitambo tu, walikuwa wapi wasiyaone? Hiyo ni gia ya kuondokea.... Haya jipanguseni mauchafu yenu mje mkiwa safi, maana safina haitaki walio wachafu wala dhaifu.
 
Wanatishia nini si wajiuzulu tu? Nilishaema kuwa hakuna uchaguzi unaowahusisha wanaCCM iwe nafasi za chama au taifa kwa ujumla unaomalizika bila Rushwa Rushwa. Hata kama atakuwa nagombea peke yake atatoa rushwa tu!
 
nape anadai walikuwa mbioni kuwaandikia barua za kuwatimua katika mpango wa chama wa kujivua gamba
 
Waondoke mapema waje kwenye safina ya ukombozi kwa sababu mlango wa safina ukishafungwa na Yehova hakuna atayekuwepo wa kuufungua,saa ya ukombozi ni sasa.WAOGA WOTE HAWATAIRITHI NCHI YA AHADI BAADA YA UKOMBOZI.
 
Kukung'ang'ania kuwa ccm ni sawa na mtu kung'ang'ania kifo.bora uwe na maamuzi sahihi.
 
Tuache demokrasia ichukue mkondo wake, kwani kuondoka kwao wajumbe hao kunamaanisha kwamba hakuna demokrasia huko wanakotoka? Kwangu mimi demokrasia ni pamoja na mtu kuchagua chama anachokipenda kwa sera na mipango yake mizuri ya kuendeleza taifa hili, hongereni sana wazee wa mwenge mmetumia haki yenu ya kidemokrasia vizuri, hakuna haja ya kuona kuwa huko walikotoka ni kubaya au walikokwenda ndio kuzuri, utamu wa pipi mate yako na hali ya mdomo ulivyoamka siku hiyo.
... unaambiwa wao wanaondoka kwa kuwa hajapewa rushwa? hakuna demokrasia huko
 
Wajumbe wa ccm mwenge mkoani Dar-es-salaam watishia kujiuzulu nafasi zao kisa mizengwe na rushwa kwenye uchaguzi.
Source:ITV habari za saa.

Hawa nao hawana hoja!, kuna kutishia tena siku hizi?! Wajanja wote huonekana tu jukwaani wakirudisha kadi za magamba na kuvaa gwanda.
 
Back
Top Bottom