Mangi Muitori
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 474
- 145
Upuuuzi tu unakusumbua kingunge si mjumbe wa mkutano mkuu acha Kongo na siasa zako za utapeli za ukawa
Wenzio wanasema kamati kuu wewe upo na mkutano mkuu
Upuuuzi tu unakusumbua kingunge si mjumbe wa mkutano mkuu acha Kongo na siasa zako za utapeli za ukawa
Pinda na Bilali wamesusia vikao......
Kingunge si mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
.
Hivi hatma ya Bilal ni nini baada ya October 25?
Amenyanganywa umakamu wa rais na kukabidhiwa mwanamke Suluhu.
mbona utaratibu wa kukalia ofisi vipindi viwili haukufuatwa kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake? Maana shein alihudumu kipindi kimaja na mkapa na kumalizia kipindi cha pili na Kikwete.
Shein amezikwa kisiasa na jk akiwa bado hai. ipokee pole yangu mh shein ktk kaburi walilokuzika kisiasa ukiwa hai.
.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida katika kikao cha kamati KUU ya CCM kinachoendelea mjini Dodoma kimehudhuriwa na wajumbe wachache(25 kati ya 32) bila maelezo kutolewa, mbaya zaidi ndani ya hao 25 waliohudhuria wapo wajumbe waliokuwa wanamuunga mkono E.L, mfano Emmanuel Nchimbi na Kingunge
Nilimuona Wassira (urais na ubunge)