Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 308
Katika hali isiyokuwa ya kawaida katika kikao cha kamati KUU ya CCM kinachoendelea mjini Dodoma kimehudhuriwa na wajumbe wachache(25 kati ya 32) bila maelezo kutolewa, mbaya zaidi ndani ya hao 25 waliohudhuria wapo wajumbe waliokuwa wanamuunga mkono Lowassa.
mfano Emmanuel Nchimbi na Kingunge.
mfano Emmanuel Nchimbi na Kingunge.