zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,035
- 28,678
It's debatable lakini some theories zinadai kwamba ni zao la Malaika walioasi na Binadamu ukisoma Gen 6 the soma na Yuda.... Then soma kuhusu warefai/Nephili kuanzia Gen 13/14 mpaka Kifo cha Mfalme Og utapata picha kamili kwamba hawakuwa normal humans coz of their size and prowess.who created nephils in the first place??