Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
Mary Nagu,Membe ni Mizigo,kama haitoshi ni vichefu chefu.
Hawa wamekuharibia thrid yako.
Membe ni Jipu tembo wataisha
Dr Kimei wa CRDB anafaa wizara ya fedha ila kwa kuwa ni mchagga kutoka kaskazini hawezi kuteuliwa. Kaskazini tumetengwa!!!
Au Ruvuma!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
Ooops,ELIMU,ELIMU,ELIMU,ELIMU.
Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe