Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

(Hesabu 23: 19)
Mungu Si mtu aseme uongo, Wala Si mwanadamu ajute.
Iwapo amesema, hatalitenda?
Iwapo amenena, hatalifikiliza?

(Isaya 34:16)
Tafuteni katika kitabu Cha BWANA,Mkasome, HAPANA katika hao wote atakayekosa kuwapo, HAPANA mmoja atakayemkosa mwenzake, Kwa maana kinywa changu kimeamuru, na Roho yake imewakusanya.

Defntn: Mapepo ni Malaika wa Giza walioasi pamoja na shetani, ni wale waliotupwa duniani baada ya uasi wa aliyekuwa Malaika huyo.

Zamani walizaa na wanawake WANADAMU na walizaliwa wanefili, majitu ambayo yalikuwa na miili mikubwa tofauti kabisa na miili yetu WANADAMU.

Baada ya gharika kuwaangamiza majitu, sasa mbinu imebadilika, shetani sasa Hasa hatumii sana form hiyo, saizi mapepo yanazaliwa bila kuwa na miili mikubwa kama zamani, ingawa wenye miili mikubwa Yale majitu ni machache.

Mapepo hivi sasa yanakuwa kama sisi kabisa, na hata ukiomba na kukemea hakiwezi kuangushwa tena kama watu wenye mapepo waangukavyo wakikemewa Kwa Jina la YESU. Wao hawawezi Kutoka sababu Wana miili kabisa ya WANADAMU kama sisi,

Fuatana nami uweze kuwatambua.

MADA: MAPEPO KATIKA FORM/ MWONEKANO WA WANADAMU.

1. MISSION ZAO DUNIANI.

Wapo wanaokuja katika mission za muda mfupi duniani, na wakiisha kukamilisha, wanarudi zao kuzimu.

Mfano. Nalimwona Shetani amekuja duniani katika mwonekano wa kijana mtanashati, alikuwa akitembea katika mtaa wetu katika Nchi yetu ya Zambia, alikuwa akielekea kufanya shughuli maalum iliyompasa aikamilishe akiwa na mwili wa mwanadamu Kisha arejee Kuzimu.

Pia wapo ambao hukaa Kwa muda mrefu, anazaliwa kabisa, ananyonya maziwa, anakua kama watu wengine, anakaa katika familia na Huwa wapo kutimiza mission zao duniani.

Tumesoma nao mashuleni, wengine ni ndugu zetu, wengine ni majirani, wengine ni manesi na madaktari mahospitalini , wengine wamewaoa Hawa mapepo nk nk

Mapepo Hawa wanaokaa Kwa muda mrefu duniani, wengine hufika Hadi katika umri wa uzee, anaigiza kufa, na mtamzika, lakini baadaye anaweza kurudi tena duniani na Kuzaliwa tena, na akiamua anaweza kuja katika JINSIA nyingine. Kama mwanzo alikuja akiwa Mwanaume, anaweza kurudi akiwa mwanamke na Kuzaliwa kwenye familia nyingine kulingana na mission ilomleta duniani.

2. MALENGO YAO.

Lengo kuu la shetani, na mapepo Hawa ni kumkaribia mwanadamu Kwa ukaribu na kuhakikisha anatenda dhambi muda wote Ili afe katika Dhambi na kumpeleka kuzimu, hiyo ndiyo furaha yake.

3. KARAKANA YA KUZIMU.

Nami nikaona mapepo wengi kuzimu wameulaza mwili wa mwanamke mmoja ambaye alikuwa ni Waziri katika Nchi yetu, mwanamke huyo alikuwa ni Pepo katika form ya mwanadamu, mwili wake ulikuwa umeanza kuoza hivyo ilimlazimu kushuka kuzimu Ili apewe viungo vipya Ili arudi kuendelea na mission yake duniani.

Mapepo yale, yalikuwa yakitoa viungo katika mwili wa mwanamke huyo na kuweka vipya, mbavu zilitolewa na kuwekwa zingine maana za awali zilikuwa zimeanza kuoza na Kutoa harufu,zisingebadilishwa WANADAMU wangemgundua, matumbo na Figo pia vilibadilishwa nk nk.
Baada ya operation kukamilika, mwanamke huyo alirudi tena duniani kuendelea mission yake.

4. UCHUMBA NA NDOA.

Kijana wa kike au wa kiume afikiapo umri wa Kuoa, Mungu huleta mtu wake sahihi Ili wakutane na kuoana, lakini hapo hapo, shetani huwatuma Hawa mapepo katika mwonekano wa mwanadamu Ili kuja kumchanga ya na kumfanya achague mapepo Badala ya mchumba au mke au mume special Kutoka Kwa MUNGU.

Wengi wamejikuta wameoa na Kuolewa na mapepo sababu ya tamaa, kufanya Tendo la NDOA kabla ya Kuoa ukidhani unatest, hii ni mbinu ambayo imefanya wengi Kuoa wake mapepo, au Kuolewa na waume mapepo katika mwonekano wa mwanadamu ambao Si WANADAMU Kwa uhalisia wao.

Na hii ndiyo sababu idadi ya wanawake duniani ni kubwa kuliko wanaume.

Hii ndiyo sababu kuu ya wanawake wengi WANADAMU mabikira waliojitunza, wanafikia Hadi miaka 40 au zaidi bila Kuolewa sababu waume wao wameoa mapepo katika mwonekano wa mwanadamu.

NDOA ni special Kwa mwanadamu mume na mwanadamu mke, na Si mwanadamu na Pepo, hivyo NDOA za aina hii ni BATILI, zinavunjwa. Huvunjwa Ili mwanadamu huyo arudi kwenye maombi aoe mke au aolewe na ubavu wake Kutoka Mbinguni.

5. UWEZO, NGUVU, MAARIFA YA HAWA PEPO KATIKA FORM YA MWANADAMU.

Wana akili sana na Maarifa ya juu sana, aweza kuwa mtoto mdogo lakini ana akili zaidi ya professor wa chuo kikuu, sababu, miaka mingi iliyopota anaweza akawa akiishi na kusoma Hadi viwango vya juu, amalizapo mission yake na kufa, akaja zaliwa tena na kuwa mtoto, hivyo, ataigiza tu, lakini akili na Maarifa hayaelezeki sababu Hawa ni Malaika waasi wanaotumikia Giza.


Nami nikamwona Pepo mmoja amelala chumbani juu ya kitanda, alinyanyua mikono na miguu na kushika na kugusa dari ambayo ilikuwa juu sana ambayo mwanadamu wa kawaida asingeweza gusa.

Nami nikaona mapepo wengine mtoni wakichezea maji, walikuwa wanaume wawili walivalia suit, lakini walikuwa wakirusha maji na kucheka Kwa sauti kubwa, sauti zao zilisababisha wingu kubwa na zito kutanda na walisababisha kusikika sauti mbalimbali msituni.

Mapepo Hawa ndio wanaosaidia nchi kubwa kufanya magunduzi mengi ya kisayansi na teknolojia, na mitindo mbalimbali.

Wamefikia uwezo wa kusaidia WANADAMU kutengeneza majanga na magonjwa mbalimbali, Vimbunga, Tufani, tsunami, Matetemeko, silaha mbalimbali wanaosaidia kutengeneza. Hawa ndio Gogu na magogu kama walivyotafsiriwa katika kitabu Cha unabii Cha Daniel na Ufunuo.

6. MAPEPO KATIKA NYUMBA ZA IBADA.

Wapo maaskofu, Wachungaji, wainjilisti Walio mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, wapo wafanyabiashara,wanamichezo, maskini Kwa matajiri kulingana na mission inayowaleta, wapo kuhakikisha SHERIA na Amri za Mungu zinapindishwa, wapo kupingana na watumishi wa Mungu wa Kweli Ili kulivuruga Kanisa.

Wengine ni waumini watakuja na pesa nyingi sana kanisani, Wachungaji wasio na macho ya kiroho, watawakaribisha na kuwapa uongozi, KAZI Yao ni kulivuruga Kanisa Kwa UZINZI na Kila aina ya uchafu Ili Yesu atukanwe wafurahi na kuzuia waamini wapya wasije Kanisani.

BWANA alinionyesha kiongozi mkuu aitwaye Papa Francis kuwa nae ni MMOJA wa Pepo katika form ya WANADAMU, yupo kukamilisha utume wake kuhakikisha UOVU unaingia Kanisani na kuwapeleka maelfu kuzimu.

7. SIASA.

Viongozi wengi wa kisiasa ni Pepo katika form ya WANADAMU, wapo kutimiza mission za shetani duniani, wapo kuhakikisha zinapita SHERIA na KUIMARISHA ufalme wa shetani kuongeza UOVU zaidi Kwa watu.

BWANA alinionyesha, Obama na familia yote wakiwemo watoto ni mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, ni wengi sana.

8. WAIGIZAJI FILAMU.

Shetani na mapepo wakiwa kuzimu kavu, hushirikiana na mapepo Walio katika form ya kibinadamu waliopo duniani kutengeneza na kuigiza FILAMU, movies na tamthilia mbalimbali.

Nia ya kutengeza FILAMU hizo ni kunuia na kuhamisha Roho za MAUTI Kwa watazamaji, Ili kuwaingiza watazamaji katika mitego Yao na kutegewa vifo katika form mbalimbali Ili mwisho waende kuzimu.

Tamthilia ya TELEMUNDOR, EMPIRER, Ni baadhi ya tamthilia ambazo waigizaji na watengenezaji ni mapepo katika form ya WANADAMU, au Uzao wa Nyoka.

Pia waigizaji wafuatao ni mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, Hawa ni wa Nigeriar 1. Papience Ozzonko, 2. Inni Eddo. 3. Jeniviever Naj 4. Tonto Dickeyi.

9. MUZIKI.

Wanamuziki wengi duniani wenye mvuto na kupendwa sana na watu katika mziki wa kidunia ni Mapepo katika form ya WANADAMU. Wanatupa Roho ya KIFO Kwa mashabiki Ili Roho zao ziende kuzimu.

BWANA akanionyesha bendi ya IMMAGINARY DRAGONN, Waimbaji wa muziki wa Rock, wote ni mapepo katika form ya WANADAMU. Nia Yao ni kuwatumia wasikilizaji na waangaliaji Roho za kifo Ili waende kuzimu Kwa namna mbalimbali.

9. MAJARIDA.

BWANA akanionyesha MAJARIDA mbalimbali yenye picha za watu ambao ni mapepo katika form ya WANADAMU wakiwa katika mapozi mbalimbali, wameweka na contacts zao Ili kuwavuta watu Hasa vijana Kuolewa nao ilhali Si WANADAMU.

10. PORN SITES.

BWANA akanionyesha waigizaji wa picha za utupu wengi wakiwa ni mapepo katika form ya WANADAMU, kuzini nao kupitia macho au physical ni kucconnect na Roho ya MAUTI Ili ufe mapema na kwenda kuzimu.

MAKAHABA katika kumbi na makasino mbalimbali wengi ni mapepo katika form ya WANADAMU.

11. MAPEPO KTK FACEBOOK.

BWANA akanionyesha Pepo aliyetengenezwa Kwa mawe katika mwili wa kiroho wa Pepo ana Facebook account na alikuwa na Facebook account ambayo alikuwa akiwasiliana na msichana aliyekuwa akitafuta mchumba katika mtandao.

Pepo yule alitamka maneno, na maneno Yale yalijitype kwenye account yake na kuwasiliana na msichana kama vile ni mtu wa kawaida ilhali ni Pepo katika form ya WANADAMU.

Pepo mwingine alikuwa mifupa mitupu, naye akiwasiliana na watu mbalimbali, na ukikubali urafiki nae, angekutumia picha zake mbalimbali za ngono Ili kukushambulia kiroho.

HITIMISHO.

1. Epuka na ikimbie zinaa na uasherati.

2. Muulize Mungu akupe mke au mume sahihi aliye Ubavu wako kuepuka Kuoa Mapepo katika form ya WANADAMU.

3. Usiangalie Tamthilia na muziki wa kidunia.

4. Usiangalie picha za ngono.

5. Epuka kutafuta wachumba mitandaoni sababu wengi ni mapepo katika form ya WANADAMU, Mke MWEMA HUTOKA Kwa Mungu. Soma

( Isaya 34:16)
Tafuteni katika kitabu Cha BWANA Mkasome, HAPANA katika hao wote atayekosa kuwapo, HAPANA mmoja atakayemkosa mwenzake, Kwa maana kinywa changu kimeamuru, na Roho yake imewakusanya.

Ikiwa Bado hujaokoka Sema Sala ifuatayo Kwa Imani.

EE YESU, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. AMEN

Source: Promover Tv, Ushuhuda wa Rachel & Zipporrah Mushalla. Part 5., U- Tube video.


Mungu awabariki.🙏


ITAENDELEA.........
Aisee!
 
1. Video uko sahihi kabisa 100% kuna tamthilia inaitwa "Lucifer" niliiangalia na nilijiridhisha imeigizwa na Mapepo kabisa maana nilikuwa nasumbuliwa sana na ndoto za za kishetani zisizoisha usiku kucha hata nikiwa nimefunga. Siku nilipochoma CD moto ndipo zilipokomea hapo jumla.

2. Pornography videos zilinitesa sana kupiga punyeto na nilijitahidi kuacha kwa nguvu zangu kibinadamu ila nilichemka, niliingia rasmi kwenye maombi ya kufunga ndipo hapo niliona nguvu za Mungu zilivyo kubwa zaidi kuliko Shetani. Nilifunga wiki 1 tu kwa imani na tangu 2013 niliacha kabisa punyeto hadi leo hii 2024.

Mungu akubariki sana Mtumishi wake uzidi kueneza injili yake vyema.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Porn,porn,porn ni hatari kwa afya ya kiroho, niliziangalia sana hasa nilipojua Nina mgeni,ila baada ya hapo usiku wangu haukuwai kuwa na amani,, nashukuru sana kwa ambayo nilikuwa nikiyaona maana yalinipa nguvu ya kuchukia porn kwa haraka, pia nilitambua nguvu yangu ,na namna inaweza pungua,,, namshukuru Mungu pia kwa kuruhusu kutambua kwamba Mimi ni nani bila hizo porn,na naweza nikaishia wapi nikizipa nafasi maishan mwangu
 
Kiimani ;
Malaika hawana jinsia ya kike wala kiume, hawazaliani ni Mungu kawaumba wapo jinsi walivyo, wao ni malaika.
Majini wana jinsia , ndio hao unasema ni mapepo na wanazaliana na wanaugua na wanakufa japo jini anaweza kuishi hadi miaka 2000 kama sikosei , wanaweza kuzini na mtu bila huyo kujitambua au kumzini bila huyo kuweza kujihami
, majini na malaika ni viumbe tofauti ,

baadhi ya wanaojiita manabii hutumia majini kuponya wagonjwa na vilema na kufanya miujiza mbalimbali kama kwa mazingaombwe. Pia wapo watu ambao huwatumia majini hao katika mambo yao kama vile kutafuta mali, watoto n.k.

Jini linaweza kumuingia mtu hata kwa njia ya hewa.

Majini wana tabia kama binadamu tu, wivu, dhuluma, uongo n.k

Malaika wameumbwa kwa nuru, kiimani katika dini zote hata movies, malaika anapotokea kunakuwa na mwanga mkali sana unaong'aa hauna mfano.
default

Angel & Mary.

kusema majini ni malaika walioasi unakua unakimbia na gari speed 180 halafu ghafla unatoka nje ya barabara na kuingia vichakani.

Utasikia mtu ana jini mahaba na kuota ndoto anafanya ngono, ndio hayo majini, hadi kufanya ngono na mtu ina maana yana jinsia za kike na kiume.

Lakini toka lini ukasikia malaika wanazaliana, au malaika mtoto.

Kwenye biblia tunaweza kuona malaika wameelezewa katika jinsia ya kiume na majina ya kiume, sidhani kama kuna malaika wengine waliotajwa kwa majina zaidi ya hao wawili ambao ni Mikaeli na Gabrieli kama sijasahau.
Unaweza kuwa na doubt kwa nini ni wa kiume wakati nimesema hawana jinsia?
Ni kwa sababu katika kipindi hiko mwanamke alikuwa hachukuliwi uzito au niseme tu kulikuwa ni mifumo dume, ndio maana katika sensa zao walihesabiwa wanaume tu.(Soma kitabu cha Musa Hesabu endapo alifanya sensa ya kitaifa na waliohesabiwa ni wanaume tu.)

Hivyo malaika kutokea katika umbile la kiume na muonekano wa kiume ni kama kuleta uzito wa ujumbe waliokuwa wanaupeleka kwa watu hao wa kipindi hiko kwa sababu walikuwa ni wabishi na walidharau wanawake na hawakuwasikiliza. Hivyo kutokea katika umbile la kiume ni kama dominant form.

Malaika hawana any specific human form, sana sana wakitokea hata leo itakuwa katika umbile na muonekano wa kiume au kike. Hivyo hadi hapo ulipo unakuta ulishakutana na malaika mara kadhaa na hukufahamu.
Huu ndo mwonekano halisi wa malaika , kupitia maandiko ya kitabu cha Danieli
 

Attachments

  • Screenshot_20231226-103223_Instagram.jpg
    Screenshot_20231226-103223_Instagram.jpg
    185.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231226-103233_Instagram.jpg
    Screenshot_20231226-103233_Instagram.jpg
    240.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20231226-103227_Instagram.jpg
    Screenshot_20231226-103227_Instagram.jpg
    184.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20231226-103218_Instagram.jpg
    Screenshot_20231226-103218_Instagram.jpg
    192 KB · Views: 4
[12/30/2023, 10:22 PM] mtzionchurchministriestor: END TIME PROPHETIC NEWS
A report about animal demon incarnates and human demon incarnates part 2
I greet you beloved brothers and sisters in the name of Jesus Christ of Nazareth. brethrens, I iam encouraging you to pray for everything you have. The fact, you must hand everything you have before Jesus Christ.

There are not only human demon incarnates but also animal demon incarnates, the Lord have exposed to us a cow which is a musambwa/siren/fallen angel/avatar which is a living cow

Brethrens on 15/05/2023 my little daughter of 5year got a dream and told me, well, she saw Musambwa/Fallen angel/demon incarnate that was chasing her from a farm where they use to pick guava fruits, the fact is that in the beginning of this may when we were praying before sleeping, the Lord took my 13 years daughter the prophetess in a trance to that farm where are many trees of guavas, my daughter like to eat guavas allot mostly when she is hungry from that neighbor's farm.

In this trance, the Lord touched on each tree where she will be picking guavas to eat, the Lord Jesus Christ warned her that you will not pick guavas from any other tree apart from these. Use only these I have told you. My daughter told me and I again warned her deeper telling her that there is a big reason why the Lord have denied her to pick guavas from other trees and she started picking guavas from these four trees the Lord showed her.

After three days when my little daughter had received this dream, she had gone with her elder daughter in that farm to pick guavas in the trees the Lord told her to pick, and the little daughter was down collecting the guavas and the Lord told the prophetess who was in tree saying; are you seeing these cows, my daughter replied yes Lord, then the Lord pointed at a one of the cows saying that this is not a cow but Musambwa which means a siren or a fallen angel or a demon in disguise or a demon incarnate.

Immediately this cow chased my daughter to pierce her but this little one escaped faster and crossed a fence the older daughter was also coming down to look the way to rescue the little one but when she escaped the farm, then the cow started chasing the older daughter but she also escaped through the fence, they came running home breathing heavily to tell me what happened to them and what the Lord told her, immediately I remembered the dream of my little daughter and ran with my phone to see and found this fallen angel cow with in others, it was very innocent and after I took pictures behind a fence, we went home and prepared to go to church for the Lord hard instructed us to pray 9 and 6hours nonstop from 7:00pm for seven days, so when we reached at church, before we had started the prayers, my older daughter was weak , and slept and saw that cow in a dream chasing to pierce her, she woke up when her arm was paining , I prayed for her and then the Lord healed her.

I then remembered why the Lord wants to pray to ask His direction before buying a domestic animals, before buying meat, food and others, I realized that in this world there are many demon incarnates in many forms which requires a saint to keep a prayerful life each day.

Brethrens this earth is a battlefield, your enemy is not joking when it comes to soul winning.

Keep your prayer life burning while preparing for the rapture.
Ask me part 1 of this message, ask me about how to pray for long hours;
+256785467432
JESUS CHRIST IS COMING NOW!
Escape Hell Before You Die
[12/30/2023, 10:26 PM] mtzionchurchministriestor: END TIME PROPHETIC ANSWER
What are the eternal dangers for using artificial family planning methods/contraceptives ??? what are the Godly family planning methods??? What is a danger of using sex styles, pastor tell me the Godly sex style. If I find a demon incarnate in my home, what can I do pastor???
Read to the end to understand the answers of your questions. touch a blue link to follow us
END TIME PROPHETIC ANSWER or inbox for secret questions
+256 785 467432
+256 783 314520
All those who use contraceptives ends up in hell, including those who use masterbation, withdraw method and others.

God created sex purposely for reproduction, then enjoyment in marriage is the least purpose for sex.

Whenever you do sex, heaven expects you to have children/offsprings,

God put Onan to death because he used withdraw method of family planning, Genesis 38:9-10
Now what do you expect for those who use all artificial methods to prevent pregnancies??? Will they escape Hell???
Please repent from using the devices of satan to mudder the children of God.

Even if you were careless and you moved in nights in dark zones, if they raped you, if you conceived, don't do abortion!!! The Lord will be the father of that child.

Sex was created only for married couples, the married couples are the ones whose bride price is settled. those who are together but not yet settled bride price, they are called fornicators not Married!!! them and the children they are producing in that fornication goes to hell if they don't REPENT as soon as possible!

Remarriage is also a false Marriage! It is called adultery not marriage, if repentance is not done in time, the remarried and the children of the remarried goes to hell when they die!

According to 1corinthians chapter 7, you are allowed to get another partner only when your marriage partner have died. If your pastor is in fornication or remarriage, you are also bound in evil covenant of sex sin and if you don't run for your life earlier to total holiness pastors, you may fall in a hell pit with him because of Mathew 15:14 that's why you must be careful of the one who is your spiritual leader/father/pastor.

The Godly family planning method is abstainance from sex and this is done only when your partner agree with you in the Marriage bed 1 Corinthians 7:5
it's not a sin when you agree to abstain from sex, but it is a sin when one partner face the other side of the wall in the Marriage bed in a disagreement.

Another Godly family planning method is when couples pray asking God not to give them a child for a given period of time.

But when you do sex and use artificial methods to stop pregnancies, it is sin of commiting mudder and if you don't repent fully, the babies you prevented you will find them before the gate of heaven waiting for your arrival and they will hand to you any artificial instrument you used to kill them maybe pills, injections, condoms, etc and they will go to heaven and the one who killed them, angels will throw that person to hell fire forever.

That's why we must not joke with the afterlife.

All those who do sex styles they copy from pornographic pictures and videos also ends up in hell if they die before repentance. In fact if you do sex styles, your marriage becomes a portal for demon incarnates/Avatars/Aliens/Nephilms Genesis 6:4. If you do sex styles, the queen of prostitutes revelation 18:7 who is the queen of the coast, a leader of all Spiritual spouses come and soil your marriage bed after you have done, after enjoying sex with her in her sex styles, I mean enjoying sex styles means enjoying the sex pleasure with the queen of the coast, you are no longer two in the bed but three, you, your partner and the queen of the coast who is a spiritual spouse. In some cases mostly to those who have started a narrow path journey she will appear to you in dreams doing sex with you if you are a man and to women, she send her delegates who are demons/fallen angels who can sometimes come physically but in most cases they spiritually in dreams in the images of the people you know to have sex with you, once these demons start having sex with you, you will give birth to demons in the spiritual realms, that's why some of you get dreams that you are breastfeeding or having children in dreams. some men gets dreams that they have another family in dreams, it is a family of demons that fight your physical Marriage and family. In some cases, if you are having sex with spiritual spouses, if you are a woman, you can give birth to physical demons/avatars, that's why you should consult God to know if all your children are normal humans from God.

Back to the topic, If you're not lucky when doing sex styles, the queen of the coast will leave the womb of your wife with an avatar/demon incarnate /nephilms/Fallen angels in flesh. The fact is that, the Holy Spirit told me that among the seven children who comes to play at my home, 3 of them are demon incarnates, so apart from Foster mother care/Artificial womb, sleeping with a physical demon, sleeping with spiritual spouses etc, another way to bring demon incarnates on the earth is using sex styles.

The only Godly sex style in the Marriage bed is a wife down facing her husband up and the husband up facing her wife down. This is the Holy sex style for Holy couples the candidates of heaven.

If you pray and find out that among your children, you gave birth to demon incarnates/tares/Nephilms/avatars/aliens, enter into a spiritual warfare to fight them, God will destroy them out from your marriage and they will die, don't give them poisons to kill them for our battle is not of the flesh but a spiritual warfare in Holiness and righteousness. If God not opened your spiritual eye, you will never give a difference between a normal human being and a demon incarnate, they are all similar but the demons know themselves that they are demons and they know the mission satan sent them to do in your marriage and on earth, demon incarnates appear very innocent and work in secrecy to keep you unaware of their true identity. That's why the Lord said Jeremiah 17:5 "Cursed is the man who trusts in man", this is because some of the people among us are not true human beings but demons incarnates, the tares of Matthew 13:38-39. That's why you must consult the Lord deeply before getting a marriage partner, some have Married demon incarnates because they follow the will of their flesh and the desires of their hearts.

How can you understand that you are not a demon incarnate??? A demon incarnate knows where it came from, and it knows the mission why satan brought it to the earth but a true human being, you don't remember where you came from.

Apart from some true humans who are possessed by demons, a true human being have the Identity of God i.e mercy, love, a seed of fearing God, I mean when you going to do evil, you hear in your heart that you must not do it. A true human being, you will find yourself not comfortable in a sinful life because there is hope in your heart but demons incarnates shows false love, false mercy, false hope etc.

Keep your prayer life strong, we are in the end times

Keep your marriage safe in total holiness!

JESUS CHRIST IS COMING NOW
Escape Hell Before You Die.
Ahsante Kwa kujazia nyama,

Ungeweka tafsiri Kwa kiswahili japo Kwa uchache, ujumbe ungewafikia wengi zaidi.
 
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

(Hesabu 23: 19)
Mungu Si mtu aseme uongo, Wala Si mwanadamu ajute.
Iwapo amesema, hatalitenda?
Iwapo amenena, hatalifikiliza?

(Isaya 34:16)
Tafuteni katika kitabu Cha BWANA,Mkasome, HAPANA katika hao wote atakayekosa kuwapo, HAPANA mmoja atakayemkosa mwenzake, Kwa maana kinywa changu kimeamuru, na Roho yake imewakusanya.

Defntn: Mapepo ni Malaika wa Giza walioasi pamoja na shetani, ni wale waliotupwa duniani baada ya uasi wa aliyekuwa Malaika huyo.

Zamani walizaa na wanawake WANADAMU na walizaliwa wanefili, majitu ambayo yalikuwa na miili mikubwa tofauti kabisa na miili yetu WANADAMU.

Baada ya gharika kuwaangamiza majitu, sasa mbinu imebadilika, shetani sasa Hasa hatumii sana form hiyo, saizi mapepo yanazaliwa bila kuwa na miili mikubwa kama zamani, ingawa wenye miili mikubwa Yale majitu ni machache.

Mapepo hivi sasa yanakuwa kama sisi kabisa, na hata ukiomba na kukemea hakiwezi kuangushwa tena kama watu wenye mapepo waangukavyo wakikemewa Kwa Jina la YESU. Wao hawawezi Kutoka sababu Wana miili kabisa ya WANADAMU kama sisi,

Fuatana nami uweze kuwatambua.

MADA: MAPEPO KATIKA FORM/ MWONEKANO WA WANADAMU.

1. MISSION ZAO DUNIANI.

Wapo wanaokuja katika mission za muda mfupi duniani, na wakiisha kukamilisha, wanarudi zao kuzimu.

Mfano. Nalimwona Shetani amekuja duniani katika mwonekano wa kijana mtanashati, alikuwa akitembea katika mtaa wetu katika Nchi yetu ya Zambia, alikuwa akielekea kufanya shughuli maalum iliyompasa aikamilishe akiwa na mwili wa mwanadamu Kisha arejee Kuzimu.

Pia wapo ambao hukaa Kwa muda mrefu, anazaliwa kabisa, ananyonya maziwa, anakua kama watu wengine, anakaa katika familia na Huwa wapo kutimiza mission zao duniani.

Tumesoma nao mashuleni, wengine ni ndugu zetu, wengine ni majirani, wengine ni manesi na madaktari mahospitalini , wengine wamewaoa Hawa mapepo nk nk

Mapepo Hawa wanaokaa Kwa muda mrefu duniani, wengine hufika Hadi katika umri wa uzee, anaigiza kufa, na mtamzika, lakini baadaye anaweza kurudi tena duniani na Kuzaliwa tena, na akiamua anaweza kuja katika JINSIA nyingine. Kama mwanzo alikuja akiwa Mwanaume, anaweza kurudi akiwa mwanamke na Kuzaliwa kwenye familia nyingine kulingana na mission ilomleta duniani.

2. MALENGO YAO.

Lengo kuu la shetani, na mapepo Hawa ni kumkaribia mwanadamu Kwa ukaribu na kuhakikisha anatenda dhambi muda wote Ili afe katika Dhambi na kumpeleka kuzimu, hiyo ndiyo furaha yake.

3. KARAKANA YA KUZIMU.

Nami nikaona mapepo wengi kuzimu wameulaza mwili wa mwanamke mmoja ambaye alikuwa ni Waziri katika Nchi yetu, mwanamke huyo alikuwa ni Pepo katika form ya mwanadamu, mwili wake ulikuwa umeanza kuoza hivyo ilimlazimu kushuka kuzimu Ili apewe viungo vipya Ili arudi kuendelea na mission yake duniani.

Mapepo yale, yalikuwa yakitoa viungo katika mwili wa mwanamke huyo na kuweka vipya, mbavu zilitolewa na kuwekwa zingine maana za awali zilikuwa zimeanza kuoza na Kutoa harufu,zisingebadilishwa WANADAMU wangemgundua, matumbo na Figo pia vilibadilishwa nk nk.
Baada ya operation kukamilika, mwanamke huyo alirudi tena duniani kuendelea mission yake.

4. UCHUMBA NA NDOA.

Kijana wa kike au wa kiume afikiapo umri wa Kuoa, Mungu huleta mtu wake sahihi Ili wakutane na kuoana, lakini hapo hapo, shetani huwatuma Hawa mapepo katika mwonekano wa mwanadamu Ili kuja kumchanga ya na kumfanya achague mapepo Badala ya mchumba au mke au mume special Kutoka Kwa MUNGU.

Wengi wamejikuta wameoa na Kuolewa na mapepo sababu ya tamaa, kufanya Tendo la NDOA kabla ya Kuoa ukidhani unatest, hii ni mbinu ambayo imefanya wengi Kuoa wake mapepo, au Kuolewa na waume mapepo katika mwonekano wa mwanadamu ambao Si WANADAMU Kwa uhalisia wao.

Na hii ndiyo sababu idadi ya wanawake duniani ni kubwa kuliko wanaume.

Hii ndiyo sababu kuu ya wanawake wengi WANADAMU mabikira waliojitunza, wanafikia Hadi miaka 40 au zaidi bila Kuolewa sababu waume wao wameoa mapepo katika mwonekano wa mwanadamu.

NDOA ni special Kwa mwanadamu mume na mwanadamu mke, na Si mwanadamu na Pepo, hivyo NDOA za aina hii ni BATILI, zinavunjwa. Huvunjwa Ili mwanadamu huyo arudi kwenye maombi aoe mke au aolewe na ubavu wake Kutoka Mbinguni.

5. UWEZO, NGUVU, MAARIFA YA HAWA PEPO KATIKA FORM YA MWANADAMU.

Wana akili sana na Maarifa ya juu sana, aweza kuwa mtoto mdogo lakini ana akili zaidi ya professor wa chuo kikuu, sababu, miaka mingi iliyopota anaweza akawa akiishi na kusoma Hadi viwango vya juu, amalizapo mission yake na kufa, akaja zaliwa tena na kuwa mtoto, hivyo, ataigiza tu, lakini akili na Maarifa hayaelezeki sababu Hawa ni Malaika waasi wanaotumikia Giza.


Nami nikamwona Pepo mmoja amelala chumbani juu ya kitanda, alinyanyua mikono na miguu na kushika na kugusa dari ambayo ilikuwa juu sana ambayo mwanadamu wa kawaida asingeweza gusa.

Nami nikaona mapepo wengine mtoni wakichezea maji, walikuwa wanaume wawili walivalia suit, lakini walikuwa wakirusha maji na kucheka Kwa sauti kubwa, sauti zao zilisababisha wingu kubwa na zito kutanda na walisababisha kusikika sauti mbalimbali msituni.

Mapepo Hawa ndio wanaosaidia nchi kubwa kufanya magunduzi mengi ya kisayansi na teknolojia, na mitindo mbalimbali.

Wamefikia uwezo wa kusaidia WANADAMU kutengeneza majanga na magonjwa mbalimbali, Vimbunga, Tufani, tsunami, Matetemeko, silaha mbalimbali wanaosaidia kutengeneza. Hawa ndio Gogu na magogu kama walivyotafsiriwa katika kitabu Cha unabii Cha Daniel na Ufunuo.

6. MAPEPO KATIKA NYUMBA ZA IBADA.

Wapo maaskofu, Wachungaji, wainjilisti Walio mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, wapo wafanyabiashara,wanamichezo, maskini Kwa matajiri kulingana na mission inayowaleta, wapo kuhakikisha SHERIA na Amri za Mungu zinapindishwa, wapo kupingana na watumishi wa Mungu wa Kweli Ili kulivuruga Kanisa.

Wengine ni waumini watakuja na pesa nyingi sana kanisani, Wachungaji wasio na macho ya kiroho, watawakaribisha na kuwapa uongozi, KAZI Yao ni kulivuruga Kanisa Kwa UZINZI na Kila aina ya uchafu Ili Yesu atukanwe wafurahi na kuzuia waamini wapya wasije Kanisani.

BWANA alinionyesha kiongozi mkuu aitwaye Papa Francis kuwa nae ni MMOJA wa Pepo katika form ya WANADAMU, yupo kukamilisha utume wake kuhakikisha UOVU unaingia Kanisani na kuwapeleka maelfu kuzimu.

7. SIASA.

Viongozi wengi wa kisiasa ni Pepo katika form ya WANADAMU, wapo kutimiza mission za shetani duniani, wapo kuhakikisha zinapita SHERIA na KUIMARISHA ufalme wa shetani kuongeza UOVU zaidi Kwa watu.

BWANA alinionyesha, Obama na familia yote wakiwemo watoto ni mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, ni wengi sana.

8. WAIGIZAJI FILAMU.

Shetani na mapepo wakiwa kuzimu kavu, hushirikiana na mapepo Walio katika form ya kibinadamu waliopo duniani kutengeneza na kuigiza FILAMU, movies na tamthilia mbalimbali.

Nia ya kutengeza FILAMU hizo ni kunuia na kuhamisha Roho za MAUTI Kwa watazamaji, Ili kuwaingiza watazamaji katika mitego Yao na kutegewa vifo katika form mbalimbali Ili mwisho waende kuzimu.

Tamthilia ya TELEMUNDOR, EMPIRER, Ni baadhi ya tamthilia ambazo waigizaji na watengenezaji ni mapepo katika form ya WANADAMU, au Uzao wa Nyoka.

Pia waigizaji wafuatao ni mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, Hawa ni wa Nigeriar 1. Papience Ozzonko, 2. Inni Eddo. 3. Jeniviever Naj 4. Tonto Dickeyi.

9. MUZIKI.

Wanamuziki wengi duniani wenye mvuto na kupendwa sana na watu katika mziki wa kidunia ni Mapepo katika form ya WANADAMU. Wanatupa Roho ya KIFO Kwa mashabiki Ili Roho zao ziende kuzimu.

BWANA akanionyesha bendi ya IMMAGINARY DRAGONN, Waimbaji wa muziki wa Rock, wote ni mapepo katika form ya WANADAMU. Nia Yao ni kuwatumia wasikilizaji na waangaliaji Roho za kifo Ili waende kuzimu Kwa namna mbalimbali.

9. MAJARIDA.

BWANA akanionyesha MAJARIDA mbalimbali yenye picha za watu ambao ni mapepo katika form ya WANADAMU wakiwa katika mapozi mbalimbali, wameweka na contacts zao Ili kuwavuta watu Hasa vijana Kuolewa nao ilhali Si WANADAMU.

10. PORN SITES.

BWANA akanionyesha waigizaji wa picha za utupu wengi wakiwa ni mapepo katika form ya WANADAMU, kuzini nao kupitia macho au physical ni kucconnect na Roho ya MAUTI Ili ufe mapema na kwenda kuzimu.

MAKAHABA katika kumbi na makasino mbalimbali wengi ni mapepo katika form ya WANADAMU.

11. MAPEPO KTK FACEBOOK.

BWANA akanionyesha Pepo aliyetengenezwa Kwa mawe katika mwili wa kiroho wa Pepo ana Facebook account na alikuwa na Facebook account ambayo alikuwa akiwasiliana na msichana aliyekuwa akitafuta mchumba katika mtandao.

Pepo yule alitamka maneno, na maneno Yale yalijitype kwenye account yake na kuwasiliana na msichana kama vile ni mtu wa kawaida ilhali ni Pepo katika form ya WANADAMU.

Pepo mwingine alikuwa mifupa mitupu, naye akiwasiliana na watu mbalimbali, na ukikubali urafiki nae, angekutumia picha zake mbalimbali za ngono Ili kukushambulia kiroho.

HITIMISHO.

1. Epuka na ikimbie zinaa na uasherati.

2. Muulize Mungu akupe mke au mume sahihi aliye Ubavu wako kuepuka Kuoa Mapepo katika form ya WANADAMU.

3. Usiangalie Tamthilia na muziki wa kidunia.

4. Usiangalie picha za ngono.

5. Epuka kutafuta wachumba mitandaoni sababu wengi ni mapepo katika form ya WANADAMU, Mke MWEMA HUTOKA Kwa Mungu. Soma

( Isaya 34:16)
Tafuteni katika kitabu Cha BWANA Mkasome, HAPANA katika hao wote atayekosa kuwapo, HAPANA mmoja atakayemkosa mwenzake, Kwa maana kinywa changu kimeamuru, na Roho yake imewakusanya.

Ikiwa Bado hujaokoka Sema Sala ifuatayo Kwa Imani.

EE YESU, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. AMEN

Source: Promover Tv, Ushuhuda wa Rachel & Zipporrah Mushalla. Part 5., U- Tube video.


Mungu awabariki.🙏


ITAENDELEA.........
Mungu akubariki mkuu, hili ni neno la wokovu kabisa, Mungu atulinde sana.
 
Vip waigizaji na wanamuziki wa bongo hukuwaona huko?
Umeambiwa kuepuka kusikilizia muziki wa kidunia.

Ukiacha kusikilizia umejiepusha na hatari.

Lengo Si kutaja watu, Bali ni kuwaepusha watu wawe makini kuepuka, ndomana Wametajwa Wachache.

Bt katika uhalisia hata kwenye ukoo wako waeza kuwapo.

Kaa karibu zaidi na Mungu atakupa macho kuwatambua na kuwaepuka.

Ubarikiwe.
 
mm sio mtu wa kanisa sana ila nina nguvu ya ziada hadi watu wanadhani ni mchawi, mtu anaweza nipangia jambo baya kinachokuja kumtokea kama sio kifo atapata onyo la kudumu.
 
mm sio mtu wa kanisa sana ila nina nguvu ya ziada hadi watu wanadhani ni mchawi, mtu anaweza nipangia jambo baya kinachokuja kumtokea kama sio kifo atapata onyo la kudumu.
Chunguza ujue chanzo Cha nguvu zako ni Kutoka Giza au Nuru.
 
Porn,porn,porn ni hatari kwa afya ya kiroho, niliziangalia sana hasa nilipojua Nina mgeni,ila baada ya hapo usiku wangu haukuwai kuwa na amani,, nashukuru sana kwa ambayo nilikuwa nikiyaona maana yalinipa nguvu ya kuchukia porn kwa haraka, pia nilitambua nguvu yangu ,na namna inaweza pungua,,, namshukuru Mungu pia kwa kuruhusu kutambua kwamba Mimi ni nani bila hizo porn,na naweza nikaishia wapi nikizipa nafasi maishan mwangu
Hii addiction ni mbaya sana
 
Mkuu ungeyasema haya ingekua mimi ni kijana mdgo tu , hii simu unayotumia leo miaka 30 tu nyuma ungeizungumzia ungeonekana mchawi na ni miujiza ya kutisha.
Anayeelewa Maandiko asingeshangaa. Biblia ilishaongelea suala la Maarifa kuongezeka zama hizi. Hata baadhi ya gunduzi za Kisayansi, kuna watumishi wa Mungu "walifunuliwa" kabla ya wanasayansi "kugundua"
 
Ukisha jiingiza kwenye imani hakunaga ukweli kwa watu wote wala uwongo kwa watu wote ,ila uhalisia unabaki kua uhalisia bila kujalisha unaamini au hauamini.

Uchawi upo kichwani kwa anae amini tu ila sio kwa kila mtu .

Jambo unaloona ni uchawi kwako kwangu linaweza kuwa na tafsiri nyingne kabisa na likapata maana rahisi kabisa.
Inaonekana wewe ni msomi, na wasomi wana kamsemo kao, "no reference no right to argue"

Nimekuwekea kitabu chenye shuhuda za mtu aliyetokewa na Malaika mara kadhaa. Usikiogope, jitie ujasiri ukisome chote. Naamini kitakubadikisha mtazamo kabisa.

Kuna walevi fulani walitaka kujiburudisha kupitia audio ya huo ushuhuda, lakini kilichotokea kilibaki Historia.

Siku hiyo walienda baa na kuagiza bia za kutosha na kuiweka hiyo audio ili waisikilize wakiinywa bia yao taratibu. Lakini walipoanza kuisikiliza, hakuna aliyefanikiwa kuionja bia waliyoagiza. Walijikuta wanatokwa na machozi kwa kuguswa na huo ushuhuda. Bila kulazimishwa, waliishia kutubu dhambi zao zote

Jitahidi kuisoma. Kitakubadilisha mtazamo kabisa. Kina Kweli zitakazokuwa huru.
 

Attachments

  • Angels On Assignment-Charles Hunter.pdf
    939.3 KB · Views: 7
Kuna Ushuhuda mzuri wa mama mmoja anaitwa Funimilayo Adebayo ni muinjilusti wa Kinaijeria unaitwa miaka 990 kwenye ufalme wa giza. Anaelezea haya akiwa ni mmojawapo wa hao wanadamu.
Fafanua kidogo mkuu. Mmoja wao kivipi? Jini katika umbo la mwanadamu?
 
Mungu mueza wa yote hayupo angekuwepo angetaka niwe wake wala asingewatumia machawa kma nyie. Kutumia machawa( wahubiri) ni udhibitisho tosha mueza wa yote hayupo na kama yupo ni dhaifu sana kuliko ata wewe .
Mungu hakulazimishi kumfuata. Amempa mwanadamu utashi wa kuamua kuhusu maisha yake.

Ameweja wazi faida za kumtilia Yeye na hasara ya kumtilia Shetani. Uamuzi ni wa mwanadamu, kwamba amfuate Mungu kwa usalama wake au aende kwa Shetani kwa hasara yake. Uamuzi ni juu ya mwanadamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom