Wajue ma DED zaidi ya 74 wasimamizi wa Uchaguzi ambao ni wanachama wa CCM

Wanaccm tunahitaji kuungana,kufunga na kuomba katika kipindi hiki kigumu kwetu. Mungu atasimama pamoja nasi , maana tukiruhusu shetani akasimama na kujitutumua mahakama ya rufani, tutapata taabu sana, na huenda tukaishiwa pumzi hukuhuku kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kabla hatujafika uchaguzi mkuu.TUUNGANE KWA PAMOJA
 
Hii nchi bhana! Ndio tunataka maendeleo kwa walioshika madaraka kufanya upuuzi huu!
Hawa ndio wanaotusumbua kila siku kusema mgombea wa ccm amepita bila kupingwa *****
 
Hata sio chuo kata.. ni chuo private. Alikuwa mwalimu wa partime kuziba nafasi ya mwalim mwingine.. ambae aliondoka wakakosa mtu wa kushika hiyo nafasi.
By then.. nilikuwa mgeni na mambo ya chuo..sijui alipataje ile nafasi.
Chuo cha kata Khaa, Sasa huyo mwalimu au Seminar leader

Chuo kikuu unafundishwa na Mr badala ya PhD holders na professor

Hao bachelors na Masters ni Seminar leader wa kusaidia instructor, Khaa umefundishwa na Mr, vyuo vya kata duu
 
18. JUMAA MHINA , DED LONGIDO huyu ni kada kama kunguni na kitanda, amegombea jimbo la kawe 2010, 2015 na kote alishindwa. Huyu Jamaa yupo fair, huwa anapendwa sana na watu, inasemekana anarudi kuchukua jimbo la kinondoni
 
Mkuu hayo maombi yenu hata shetani anawashangaa yataenda kwa Mungu yupi??Mungu hapendi dhuruma yaani bila aibu makada wenu wasimamie uchaguzi wa vyama vingi halafu mnawaambia hao wakurugenzi atakae ruhusu jimbo liende upinzani kazi hana mambo gani hayoo??bila aibu mchana kweupee??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…