Wajinga ndiyo waliwao!(soma hapa)

Yes Shekhe
nasubiria splash yake maana kama ujuavyo mengi tutasikia na kuona wimbi la wadanganywao

safi sana kwa kuwa far front kutualert
 
Kesho tudanganye watu, lakini sheria za inji ziko palepale...ukienda extreme unadakwa na sheria vilevile!
 
Nimetumia kama daakika5 hivi kuitafuta hiyo F13 kwenye key board.
Nazani mimi Nimedanganyika ila sitodanganyika teena.
 
Back
Top Bottom