Wajanja Night is back

Shs 500 bado ni kubwa ukilinganisha na spidi ndogo tunayopata kwene baadhi ya maeneo, kukatikakatika na wale wangine ambao inabidi mchana tununue bando nyingine ili maisha yaende.
 
Nadhani cha kwanza leo nitashusha windows 8 kisha nitafute external hdd moja matata. Haya mabundi kazi kwetu tena.
 
mabundi walipata mshituko mkubwa sana jamaa walivyoizima iyo huduma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…