Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,865
WAJANJA KAZI NA BATA INAENDELEAJE!?
Leo 16:30pm 07/04/2022
Washamba tunalia hali ngumu huku mchele,unga na dagaa vyote vimepanda bei, nauli ya bajaji toka sh 500 hadi sh 1,000 vipato vyetu na mishahara ileile havijaongezeka, Wajanja mmeshindwa kuongea na Putin awape mafuta ya bei rahisi, tutakufa mjue, najua Economic recessions huwa hazina mbabe lakini Mjanja mwenzenu Rais wa Ufaransa katoa mabilioni kwa Wananchi wake ili kudhibiti ongezeko la bei ya Umeme na Gesi, Mjanja mwenzenu kaongeza marupurupu kwenye mishahara ya Wananchi wake ili kupambana na mfumuko wa bei, Wajanja mmeshindwa kugundua uko deep Sea kuna meli nyingi zinauza mafuta kutoka Urusi kwa bei rahiisi chini ya bei ya soko la Dunia, au na nyie washamba!!? You cannot mitigate sababu myumbo/mdondoko wa uchumi huja na some unavoidable factors kama vita inayoendelea huko Ukraine ha ha ha...!
Ni wakati sasa wakuangalia yapi ya msingi twende nayo kipindi hiki na yapi tuyasimamishe kidogo,ninyi Wajanja bwana hatuwezi kufa na njaa hivi hivi wakati ninyi mpo, japo sasa hivi jirani akipakua naenda kula hanifukuzi,si unajua sisi Wajamaa ha ha ha jirani ataona aibu kunifukuza, Mzee Baba Magufuli angekuwepo angetoa ruzuku kufidia kwa muda na ninaamini angeongea na Putin kama India na China tukanunua direct toka Russia,Mzee Baba, Chuma,Simba wa Yuda angeongea tu na Masimba wa Yuda wenzie wangetulegezea, Haaa sasa nyie wajanja kabisa halafu mnataka kuzidiwa na Mzee Baba, Chuma, ongeeni na Putin bwana, Kipindi chake ilipanda sukari tu...mijitu ikatoa povu kama imetiwa pilipili...wajanja walificha baada ya Mzee Baba kusema hakuna kuongeza bei sukari,
Mzee Baba kapita, mtenda mema mengi kaenda, sasa hivi kila kitu juu wajanja mnaupiga mwingi hadi mnapitiliza,Mnyika nae anaupiga mwingi,Mwepesi Mzee wa kigoma mwisho wa reli ha ha ha nae anaupiga mwingi yupo mezani anakula sasa hivi,ukiwa unakula hakuna kuongea,ripoti ya 2022 imetoka hatupo uchumi wa kati yeye yupo mezani kanogewa na paja la kuku ha ha ha kaula,wakati wa Mzee Baba,Chuma,Simba wa Yuda tuliongeza mapato ha ha ha wajanja walivyokuja wakasema yalikuwa mapato ya dhuluma,wakaachana nayo majibu wamepata hatupo tena uchumi wa kati,Mzee Baba Chuma alioongeza na kutanua wigo wa ukusanyaji mapato tuendelee nayo tufikirie kupunguza kodi kwenye mafuta ambayo athari yake imekua ni kubwa kwa wananchi na sisi washamba,tuangalie hata yale mapato ya sehemu nyingine tufidie kwenye bei ya lita ya petrol na diesel,
Mwana kulitafuta,mwana kulipata kwa kifipa tunasema "What goes around comes around" ukweli mchungu,wapo waheshimiwa ambao wamekwaa Uwaziri awamu hii ya sita walimshikia bango sana marehemu Mzee Baba,Chuma,Simba wa Yuda wakisema analeta maendeleo ya vitu na si watu,Wajanja mtupe sasa maendeleo ya watu,mlimnanga kwa umahiri ile misemo ya kazi na bata na nyumba inaongozwa/imepewa washamba,Mungu si athumani Wajanja mmepewa nyumba, janga la vita ya ukraine.
Tuone sasa mbinu za kushusha bei za bidhaa za vitu vinavyoleta maendeleo ya watu,Wajanjaa,mnaupiga mwingi,tuone uongozi wenu wa nyumba,Mwenzenu mliye mnanga kipindi kile alitoa uongozi uliotukuka kwa kujitoa sadaka wakati wa corona, aliongea kijijini akajibiwa mjini Marekani na Uingereza,Mzee Baba aliwapa facts za kikemia makemistry, mapublic health, na biostatistics, mastatistics, manumber to harm na manumber to treat akaiachia dunia,wazungu wakakiri hadharani corona tutaishi nayo kama maradhi mengine. Mzee Baba, Simba wa Yuda aliliona hili miaka miwili kabla ya hawa Wazungu kukiri hadharani juzi kati.
Nimalizie na ma cost of purchase ya mabidhaa yaliyoongezeka,ma cost of transportation yaliyoongezeka, madaladala, pikipiki, bajaji kuongeza bei, mamwendokasi najua yataongeza bei, ma kodi ya nyumba, gharama ya pango, umeme, maji, Ulinzi, usafi, misosi imeongezeka bei, mshahara mdogo tutashindwa kulipa vyote hivi, chipsi kavu toka 1,500 hadi 2,000 wali maharage toka 1,000 hadi 2,500 Niseme tu. There is a difference between problem addressing and solving leader/government naamini mtatuokoa sisi Wananchi toka kwenye huu mfumuko wa bei, naahidi kuwa nanyi bega kwa bega, Mimi mshamba lakini sijui kama mtanikubali nikae meza moja na ninyi, Mama yetu Tanzania hatuna pa kwenda, niwatakie heri na Baraka, na Mwenyezi Mungu awashushie maono muweze kutafuta namna ya kutupunguzia bei vitu hivi vinavyoendelea kupanda, Amina.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Leo 16:30pm 07/04/2022
Washamba tunalia hali ngumu huku mchele,unga na dagaa vyote vimepanda bei, nauli ya bajaji toka sh 500 hadi sh 1,000 vipato vyetu na mishahara ileile havijaongezeka, Wajanja mmeshindwa kuongea na Putin awape mafuta ya bei rahisi, tutakufa mjue, najua Economic recessions huwa hazina mbabe lakini Mjanja mwenzenu Rais wa Ufaransa katoa mabilioni kwa Wananchi wake ili kudhibiti ongezeko la bei ya Umeme na Gesi, Mjanja mwenzenu kaongeza marupurupu kwenye mishahara ya Wananchi wake ili kupambana na mfumuko wa bei, Wajanja mmeshindwa kugundua uko deep Sea kuna meli nyingi zinauza mafuta kutoka Urusi kwa bei rahiisi chini ya bei ya soko la Dunia, au na nyie washamba!!? You cannot mitigate sababu myumbo/mdondoko wa uchumi huja na some unavoidable factors kama vita inayoendelea huko Ukraine ha ha ha...!
Ni wakati sasa wakuangalia yapi ya msingi twende nayo kipindi hiki na yapi tuyasimamishe kidogo,ninyi Wajanja bwana hatuwezi kufa na njaa hivi hivi wakati ninyi mpo, japo sasa hivi jirani akipakua naenda kula hanifukuzi,si unajua sisi Wajamaa ha ha ha jirani ataona aibu kunifukuza, Mzee Baba Magufuli angekuwepo angetoa ruzuku kufidia kwa muda na ninaamini angeongea na Putin kama India na China tukanunua direct toka Russia,Mzee Baba, Chuma,Simba wa Yuda angeongea tu na Masimba wa Yuda wenzie wangetulegezea, Haaa sasa nyie wajanja kabisa halafu mnataka kuzidiwa na Mzee Baba, Chuma, ongeeni na Putin bwana, Kipindi chake ilipanda sukari tu...mijitu ikatoa povu kama imetiwa pilipili...wajanja walificha baada ya Mzee Baba kusema hakuna kuongeza bei sukari,
Mzee Baba kapita, mtenda mema mengi kaenda, sasa hivi kila kitu juu wajanja mnaupiga mwingi hadi mnapitiliza,Mnyika nae anaupiga mwingi,Mwepesi Mzee wa kigoma mwisho wa reli ha ha ha nae anaupiga mwingi yupo mezani anakula sasa hivi,ukiwa unakula hakuna kuongea,ripoti ya 2022 imetoka hatupo uchumi wa kati yeye yupo mezani kanogewa na paja la kuku ha ha ha kaula,wakati wa Mzee Baba,Chuma,Simba wa Yuda tuliongeza mapato ha ha ha wajanja walivyokuja wakasema yalikuwa mapato ya dhuluma,wakaachana nayo majibu wamepata hatupo tena uchumi wa kati,Mzee Baba Chuma alioongeza na kutanua wigo wa ukusanyaji mapato tuendelee nayo tufikirie kupunguza kodi kwenye mafuta ambayo athari yake imekua ni kubwa kwa wananchi na sisi washamba,tuangalie hata yale mapato ya sehemu nyingine tufidie kwenye bei ya lita ya petrol na diesel,
Mwana kulitafuta,mwana kulipata kwa kifipa tunasema "What goes around comes around" ukweli mchungu,wapo waheshimiwa ambao wamekwaa Uwaziri awamu hii ya sita walimshikia bango sana marehemu Mzee Baba,Chuma,Simba wa Yuda wakisema analeta maendeleo ya vitu na si watu,Wajanja mtupe sasa maendeleo ya watu,mlimnanga kwa umahiri ile misemo ya kazi na bata na nyumba inaongozwa/imepewa washamba,Mungu si athumani Wajanja mmepewa nyumba, janga la vita ya ukraine.
Tuone sasa mbinu za kushusha bei za bidhaa za vitu vinavyoleta maendeleo ya watu,Wajanjaa,mnaupiga mwingi,tuone uongozi wenu wa nyumba,Mwenzenu mliye mnanga kipindi kile alitoa uongozi uliotukuka kwa kujitoa sadaka wakati wa corona, aliongea kijijini akajibiwa mjini Marekani na Uingereza,Mzee Baba aliwapa facts za kikemia makemistry, mapublic health, na biostatistics, mastatistics, manumber to harm na manumber to treat akaiachia dunia,wazungu wakakiri hadharani corona tutaishi nayo kama maradhi mengine. Mzee Baba, Simba wa Yuda aliliona hili miaka miwili kabla ya hawa Wazungu kukiri hadharani juzi kati.
Nimalizie na ma cost of purchase ya mabidhaa yaliyoongezeka,ma cost of transportation yaliyoongezeka, madaladala, pikipiki, bajaji kuongeza bei, mamwendokasi najua yataongeza bei, ma kodi ya nyumba, gharama ya pango, umeme, maji, Ulinzi, usafi, misosi imeongezeka bei, mshahara mdogo tutashindwa kulipa vyote hivi, chipsi kavu toka 1,500 hadi 2,000 wali maharage toka 1,000 hadi 2,500 Niseme tu. There is a difference between problem addressing and solving leader/government naamini mtatuokoa sisi Wananchi toka kwenye huu mfumuko wa bei, naahidi kuwa nanyi bega kwa bega, Mimi mshamba lakini sijui kama mtanikubali nikae meza moja na ninyi, Mama yetu Tanzania hatuna pa kwenda, niwatakie heri na Baraka, na Mwenyezi Mungu awashushie maono muweze kutafuta namna ya kutupunguzia bei vitu hivi vinavyoendelea kupanda, Amina.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.