Wajameni haya magari ya Idara gani?

Wajameni haya magari ya Idara gani?

So yule bwana alilitaka lile ghorofa nini chanzo cha kumpelekea wasiojulikana
Ghorofa alikua analimiliki kitambo tu aliuziwa na Chama cha Ushirika lkn serikali ilikua inarudisha mali za ushirika zilizouzwa kiholela,so jamaa nadhani alikua anazingua kuwarudishia.

Chanzo cha kumpelekea wasiojulikana sikijui mzee baba.
 
Haya magari yalitaifishwa na TRA mwaka juzi nadhani mpk rais alienda bandarini akaamuru yapewe kwenye taasisi mbalimbali za serikali mengine yana namba SFX vibao vyake vya namba vyeusi.
 
Ghorofa alikua analimiliki kitambo tu aliuziwa na Chama cha Ushirika lkn serikali ilikua inarudisha mali za ushirika zilizouzwa kiholela,so jamaa nadhani alikua anazingua kuwarudishia.

Chanzo cha kumpelekea wasiojulikana sikijui mzee baba.
Wale wasiojulikana taarifa zao still wanapumua au rip
 
Hata wewe unaweza ukaisajiri gari yako kwa jina la Jidu La Mabambasi mradi uwe tayari kulipia.
Utaratibu huo naufahamu.
Unalipia 5m pale Vehicle Registration TRA.
Magari ya serikali yana utaratibu huo?
Ukikagua vizuri hata Insurance hayana, itakuwa kulipia 5m!
 
Kuna nyingine zina plate number za Singapore.
 
Back
Top Bottom