Wajameni haya magari ya Idara gani?

Wajameni haya magari ya Idara gani?

Baba mdogo wangu ni dereva wa tume ya uchaguzi plate namba yake ni ya muundo huo huo!!!Unakuta leo kaja na stk,kesho namba ya kawaida, kesho yake plate kama iyo kwenye picha? But yeye anamuendasha jamaa wa Tume ya Uchaguzi
Tume ya ucgaguzi si serikali?
Kwa nini wajifiche usajili, kuna nini nyuma yake?
 
Nashangaa sana.
Mkia wa mbuzi jike unauona bado unauliza tuh.
 
Nadhani bado Yuko gesti ya serikali Kama sija mix identity.
Mlio Kanda maalum hebu tujuzeni
Alitoka lkn lile ghorofa pale Mwz alilolinunua kutoka chama cha ushirika ameshalitapika serikalini.
 
Gari zenye number hizo hua hazioneshi taarifa zozote za kuhusu hilo gari... Ni kama vile halipo lakini lipo...

Hata TRA taarifa zake huzikuti kwa kutumia hizo number...



Cc: mahondaw
 
Kujua namba za magari si kosa zile unazozifiria wewe zina za kawaida kabisa na tutakaa nazo mtaani bila kuzijua.Wangekuwa hawataki zijulikane wangelibandika za kawaida nami niliwahi kuuliza nikaambiwa ni gari za Tume ya Uchanguzi Tanzania
Wanatembea na dazeni za plate namba KILA hatua wanabadilisha
 
Back
Top Bottom