Wajameni haya magari ya Idara gani?

Wajameni haya magari ya Idara gani?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,589
Reaction score
28,570
20201124_065747.jpg

Nauliza tu!
Maana sizu hizi yamekuwa mengi!
Niuliza tena, hivi namba hizi zipo kule Vehicle Registration TRA?
 
Kujua namba za magari si kosa zile unazozifiria wewe zina za kawaida kabisa na tutakaa nazo mtaani bila kuzijua.Wangekuwa hawataki zijulikane wangelibandika za kawaida nami niliwahi kuuliza nikaambiwa ni gari za Tume ya Uchanguzi Tanzania
Hilo jibu hali kidhi.
Tume ni sehemu ya Serikali, kwa nini hawatumii namba zilizosajiliwa kishera ambazo zinaanzia STL..., STK...
 
Baba mdogo wangu ni dereva wa tume ya uchaguzi plate namba yake ni ya muundo huo huo!!!Unakuta leo kaja na stk,kesho namba ya kawaida, kesho yake plate kama iyo kwenye picha? But yeye anamuendasha jamaa wa Tume ya Uchaguzi
 
Back
Top Bottom