Nimepata habari ambazo sio za kudhibitisha ya kuwa mmoja wa wapambanaji mahiri wa Chadema Waitara ni miongoni ya waliopoteza maisha. Tunaomba wenye habari zaidi watueleze. Cha kushangaza niliona kama picha yake na viongozi wengine kwenye maandamano lakini jina lake halikuwepo kwenye orodha ya washtakiwa.