Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Huyu mwenye sura mbaya kama mganga wa kienyeji akajifie huko
Upo sahihi Waitara ni mtu mbaya sana anatumia madaraka vibaya kukomoa wananchiNina wasiwasi wako na uelewa wako. Mimi huwa sina chama na si shabikii ujinga. Nimesema alichokifanya waitara ni kuwanyima fursa wananchi kwa kuaribu au kutengeneza mazingira ya wawakilishi wa wananchi ambao wanatokea upinzani kushindwa kufanyakazi. Na hilo kajinasibu yeye mwenyewe. Kimuonekano atasema kawakomoa wapinzani ila kiuhalisia katukomoa wananchi. Hata wanao mkwamisha magu nao akili zao ni kama za Waitara tu coz wanatukoa wananchi wote. Kwa akili zako, kama kuna mradi wa maji katika sehemu ya upinzani then Waitara anaukwamisha, unahisi kamkomoa kiongozi au akina mama wenzio wanao amka usiku kutafuta maji?
Amka wewe, acha ushabiki maandazi, simama kama mtanzania na sio kama cdm au ccm. Hizo akili zenu za uchama, zitabomoa hii nchi.
Babu la Bara nadhani unaupungufu wa muono, hasa kuhusu michango ya wenzako.Nina wasiwasi wako na uelewa wako. Mimi huwa sina chama na si shabikii ujinga. Nimesema alichokifanya waitara ni kuwanyima fursa wananchi kwa kuaribu au kutengeneza mazingira ya wawakilishi wa wananchi ambao wanatokea upinzani kushindwa kufanyakazi. Na hilo kajinasibu yeye mwenyewe. Kimuonekano atasema kawakomoa wapinzani ila kiuhalisia katukomoa wananchi. Hata wanao mkwamisha magu nao akili zao ni kama za Waitara tu coz wanatukoa wananchi wote. Kwa akili zako, kama kuna mradi wa maji katika sehemu ya upinzani then Waitara anaukwamisha, unahisi kamkomoa kiongozi au akina mama wenzio wanao amka usiku kutafuta maji?
Amka wewe, acha ushabiki maandazi, simama kama mtanzania na sio kama cdm au ccm. Hizo akili zenu za uchama, zitabomoa hii nchi.
mimi ninachoamini wananchi wa tarime wanajua kile wanachohitaji na nani wa kuwatimizia, wao ndio waamuzi siwezi kukaa kwenye vichwa vyao. Wakimchangua yoyote ni sawa sababu ndio hitaji lao na kila chama kina hitajika kuheshimu maamuzi hayo. kama huyo unayesema ana kubarika sawa, haina shida. Siwezi kujiingiza katiaka malumbano ya ccm na cdm au waitara na wengine sababu sijajua hata sera za mwaka huu zipo vipi. Mi niwatakie kila la kheri wote wagombea na wapiga kura. Tz ni yetu haina haja ya kukwamishana sababu ya uchama, ukabila, ujuaji, au udini.Babu la Bara nadhani unaupungufu wa muono, hasa kuhusu michango ya wenzako.
Hapa tumezungumzia hali ya kisiasa na uelekeo kwa uchaguzi wa Ubunge Tarime Vijijini. Na michango yangu ilijikita hapo.
Suala la kutoona umuhimu wa maendeleo sehemu husika kwa kuzingatia chama hilo silizungumzii na mimi nilivuka huko miaka mingi mnoo.
Nilichokuwa nasema na ninarudia ni kuwa safari hii Heche ana mtu wa kumshugulisha. Labda unajificha kivulini chini ya chama lakini suala la uchama lazima tukubali ni moja ya vitu muhimu kisiasa kwa wenye kuamini. Fuatilia vizuri koments zangu.
Huyu mlevi ajiandae kupika gongoNaibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa mpaka sasa hivi amekwishamaliza kazi kubwa ndani ya Jiji la Dar es Salaam ya kukisambaratisha Chama cha CHADEMA, na kwa sasa ameweka wazi kwa mara nyingine kuwa atakwenda kugombea ubunge katika jimbo la Tarime Vijijini mkoani Mara kupitia chama hicho.
Waitara amesisitiza kuwa haondoki Ukonga kwa sababu anamkimbia mtu, bali amekamilisha kazi ya kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hivyo anakwenda Tarime Vijijini ambako ndipo anapotokea, kufanya kazi hiyo.
“Wala hakuna mtu ninayemkimbia, jimbo langu [Ukonga] lipo salama ndani na nje ya chama. Nimeshafanya kazi ya kuwasambaratisha CHADEMA hapa wameshapoteana. Walikuwa na Meya wa Jiji, hayupo, walikuwa na Meya Ilala, hayupo, walikuwa na Meya wa Ubungo, hayupo. Nishamaliza kazi Dar es Salaam, naenda kukamilisha kazi sehemu nyingine,” amesema Waitara.
Kiongozi huyo ambaye alihamia CCM akitokea CHADEMA Julai 2018 amesema kuwa Julai 14 mwaka huu atachukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Tarime Vijijini, na kwamba suala hilo sio siri.
Mpuuzi kabisa. Badala ya kuwatumikia wananchi yeye anajinasibu kuisambaratisha CHADEMA? Pumbavu kabisa. Kumbe ndio maana hatuendeleiWaitara amesisitiza kuwa haondoki Ukonga kwa sababu anamkimbia mtu, bali amekamilisha kazi ya kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hivyo anakwenda Tarime Vijijini ambako ndipo anapotokea, kufanya kazi hiyo.
Kuifuta CCM sawa lakini kuifuta CHADEMA haliko kwenye katiba.Mtu mzima kusema unasambaratisha upinzani amabao upo kwa mjibu wa katiba ni kutokojitambua. Mheshimiwa Magufuli angalia watu unaowapa uwaziri maana huyu naye kuitwa ni waziri ni shida. Sijui kama kwenye hiyo wizara amesaidia chochote.
Waitara mwita kaenda kupora jimbo siyo kuchaguliwa kwa sanduku la kura itokee kuwepo na uchaguzi huru na haki waitara hawezi kupata hata kura 6Mpuuzi kabisa. Badala ya kuwatumikia wananchi yeye anajinasibu kuisambaratisha CHADEMA? Pumbavu kabisa. Kumbe ndio maana hatuendelei
Nayeye amesambaratishwaNaibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa mpaka sasa hivi amekwishamaliza kazi kubwa ndani ya Jiji la Dar es Salaam ya kukisambaratisha Chama cha CHADEMA, na kwa sasa ameweka wazi kwa mara nyingine kuwa atakwenda kugombea ubunge katika jimbo la Tarime Vijijini mkoani Mara kupitia chama hicho.
Waitara amesisitiza kuwa haondoki Ukonga kwa sababu anamkimbia mtu, bali amekamilisha kazi ya kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hivyo anakwenda Tarime Vijijini ambako ndipo anapotokea, kufanya kazi hiyo.
“Wala hakuna mtu ninayemkimbia, jimbo langu [Ukonga] lipo salama ndani na nje ya chama. Nimeshafanya kazi ya kuwasambaratisha CHADEMA hapa wameshapoteana. Walikuwa na Meya wa Jiji, hayupo, walikuwa na Meya Ilala, hayupo, walikuwa na Meya wa Ubungo, hayupo. Nishamaliza kazi Dar es Salaam, naenda kukamilisha kazi sehemu nyingine,” amesema Waitara.
Kiongozi huyo ambaye alihamia CCM akitokea CHADEMA Julai 2018 amesema kuwa Julai 14 mwaka huu atachukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Tarime Vijijini, na kwamba suala hilo sio siri.
Jinga hili limelaaniwa haswaOoh! Kumbe! Mi nilijua anataka kuwatumikia wananchi,kumbe ulikuwa unasambaratisha chama?!so,watanzania wa kawaida kuna kitu wamepata hususani maendeleo yyt kufuatia kuisambaratisha cdm?
Basi ni hivi,kama Mungu aishivyo,unamalizia awamu hii,na hutarudi! Kama Mungu aishivyo!u ll never ever! Na nakufuta!
Tunahitaji viongizi wanaojielewa ,maono mapya,ubunifu nk kwa ajili yamaendeleo,sio wanaosambaratisha wengine!
Sent using Jamii Forums mobile app
HECHE YUKO TARIME, SIYO MUSOMA.Waitara kumfukuze kazi heche amechindwa kuwatumikia wana musoma