ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,044
- 49,728
MBUNGE wa Tarime Vijijini Mwita Waitara, amesema wamejipanga vizuri kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hadi sasa kwa majimbo yote mkoani Mara wamefikia asilimia 98.
Amesema uchaguzi wa mwakani wa serikali za mitaa watashinda kwa kishindo na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2025 wamejipanga kufanya vizuri.
“Nawaomba watu wa Mara na Tanzania, Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeweka mipango ya kuona wananchi wanapata mali, barabara, elimu, afya na vijana kupata ajira, hakuna mtu yeyote ambaye anapita katikati kumkwamisha Rais Samia na tukimuona ama zake ama zetu,” amesema Waitara.
Amesema Rais Samia Suluhu Hassan yupo imara wanamuunga mkono na serikali ipo imara.
Chanzo: Habari leo
====
My Take
Mwita Waitara Asema atalala mbele na wote watakaomkwamisha Rais Samia.
Mambo yanazidi kunoga kuelekea 2025.
Amesema uchaguzi wa mwakani wa serikali za mitaa watashinda kwa kishindo na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2025 wamejipanga kufanya vizuri.
“Nawaomba watu wa Mara na Tanzania, Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeweka mipango ya kuona wananchi wanapata mali, barabara, elimu, afya na vijana kupata ajira, hakuna mtu yeyote ambaye anapita katikati kumkwamisha Rais Samia na tukimuona ama zake ama zetu,” amesema Waitara.
Amesema Rais Samia Suluhu Hassan yupo imara wanamuunga mkono na serikali ipo imara.
Chanzo: Habari leo
====
My Take
Mwita Waitara Asema atalala mbele na wote watakaomkwamisha Rais Samia.
Mambo yanazidi kunoga kuelekea 2025.
Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
Mbunge wa Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania tulimpa heshima Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyrere, Pia ni raihisi aliyeahidi hakuna kazi itakayosimama na zikaendelea. Pia Mbunge wa Tarime Vijijini anasema Rais...
www.jamiiforums.com