Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,813
Naibu waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara: Kumekuwa na mzaha mzaha, unatoa maelekezo hata mheshimiwa Rais juzi ametoa maagizo watu wanaibuka wanazungumza mambo yao ambayo kwakweli ni makosa makubwa sana.
Sisi tunatakiwa kupata muongozo kwa kiongozi mkuu wa Nchi, Rais ni Taasisi, sasa kama amejiridhisha kwenye vyombo kwa jambo hili la chanjo ni jambo salama tena amesema itakuwa chanjo ya hiari.
Sasa kama hutaki, usitoe kupotosha watu wengine, tunaanza kudeal na contradictions, mwingine akisikia kutokana na nafasi yako ataamini wewe ndio uko sawa, sasa sisi kama serikali na sisi watanzania nchi hii inaongozwa na sheria, msemaji mkuu wa nchi ni Rais.
Sisi tunatakiwa kupata muongozo kwa kiongozi mkuu wa Nchi, Rais ni Taasisi, sasa kama amejiridhisha kwenye vyombo kwa jambo hili la chanjo ni jambo salama tena amesema itakuwa chanjo ya hiari.
Sasa kama hutaki, usitoe kupotosha watu wengine, tunaanza kudeal na contradictions, mwingine akisikia kutokana na nafasi yako ataamini wewe ndio uko sawa, sasa sisi kama serikali na sisi watanzania nchi hii inaongozwa na sheria, msemaji mkuu wa nchi ni Rais.