Kwa hii hoja nakuunga mkono. Mimi nimekuwa mwanachama wa CCM kwa mara ya kwanza nilipojiunga Kidato cha Kwanza Kahororo Sekondari mwaka 1990 maana nililipia na kupewa kadi ya UVCCM kipindi hicho.Zamani ulikuwa ukifikisha miaka 18 lazima uwe mwanachama Wa ccm,youth league.
Kwa hiyo kuna vitu lazima uitishwe kama kujiunga chuo uwe na Cheti cha ubatizo au kadi ya mwanacccm, kwa hiyo lazima lisu alishakuwa mwanacccm hapo kabla ya vyama Vingii kuwepo.
Wwngi tulivipotezea kwenye kuvi renew maaana haikuwa bure kupata kadi Mpya.
Dah mhenga mwenzangu, kizazi cha zamani wote tulikuwa CCM.Kwa hii hoja nakuunga mkono. Mimi nimekuwa mwanachama wa CCM kwa mara ya kwanza nilipojiunga Kidato cha Kwanza Kahororo Sekondari mwaka 1990 maana nililipia na kupewa kadi ya UVCCM kipindi hicho.
Ahahahahah! Mhenga mwenzangu mi bado nimeng'ang'ania hadi leo.Dah mhenga mwenzangu,kizazi cha zamani wote tulikuwa ccm.
Mi sina kadi yoyote zaidi ya card ya crdb.Ahahahahah! Mhenga mwenzangu mi bado nimeng'ang'ania hadi leo.
Hawaaminiki... Soon watakuja geuka wakitumia vijimaneno vya kebehi kama kawaida.Tatzo hyo taasisi anayosema wakati mwingine imeshatudanganya mengi tu tokea tawala zilizopita. Kwahyo haimaanishi basi hyo taasisi ikishasema Jambo basi na sisi tusitumie akili zetu
Hilo ni jinga tupuWewe uishukuru Sana CHADEMA kwa kukufikisha hapo, kila mtu ana uhuru wa kujieleza
Tukishakuwa na taifa ambako kauli na nguvu za Rais hazihojiwi . Ndipo inatokea kama haya ya mwendazake . Alipotosha kuhusu ugonjwa kwa kufananisha wanaadamu na mbuzi ' kware' oil 'mipapai nk . Leo mnamsuta kuwa turudi kwenye taaluma.Nchi hii ya kijinga Sana, nilitegemea saizi Gwajima atakuwa yupo somewhere anapewa torturing , haiwezekani Hakashifu maamuzi na msimamo wa Rais
Wa naWaitara alikuwa CCM kabla ya Chadema na alikuwa na cheo tena alikuwa mwamba kweli kweli akiwa UVCCM enzi za Dk. Nchimbi. Chadema waliramba dume alipoahamia kwao na ndio maana walimpa vyeo vya juu juu! Hivyo, Chadema ndio walipoteza waliooshindwa kumtumia na kuamua kurudi nyumbani.
Amemaliza kuunganisha mikoa yote kwa lami au ni mwendelezo wa kutaka kuonekanaSisi tunatakiwa kupata muongozo kwa kiongozi mkuu wa Nchi, Rais ni Taasisi, sasa kama amejiridhisha kwenye vyombo kwa jambo hili la chanjo ni jambo salama tena amesema itakuwa chanjo ya hiari.
Waitara mbona unazunguka mbuyu?, Gwajima ndiyo kasema na yupo pale Kawe kanisani kwake muda huu - si ule kichwa badala ya kulalamika lalamika.Naibu waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara: Kumekuwa na mzaha mzaha, unatoa maelekezo hata mheshimiwa Rais juzi ametoa maagizo watu wanaibuka wanazungumza mambo yao ambayo kwakweli ni makosa makubwa sana.
Sisi tunatakiwa kupata muongozo kwa kiongozi mkuu wa Nchi, Rais ni Taasisi, sasa kama amejiridhisha kwenye vyombo kwa jambo hili la chanjo ni jambo salama tena amesema itakuwa chanjo ya hiari.
Sasa kama hutaki, usitoe kupotosha watu wengine, tunaanza kudeal na contradictions, mwingine akisikia kutokana na nafasi yako ataamini wewe ndio uko sawa, sasa sisi kama serikali na sisi watanzania nchi hii inaongozwa na sheria, msemaji mkuu wa nchi ni Rais.
wanaogopana wenyewe kwa wenyewe na wanamuogopa Gwajima zaidi kwa kuwa ana halaiki ya waumini wake ambao anawatumia katika kutimiza kila jambo lako. Kwa kifupi washamshindwa Gwajima.Tunapokosea ni pale ambapo hatusemi ukweli,sioni sababu ya kumuogopa yule anayepotosha wananchi.
Kama Waziri Naibu sema kwa herufi kubwa kwamba Askofu Gwajima ni mpotoshaji ktk swala la Corona.
CCM ....Gwajima ni mbunge wenu na amekwenda kinyume kabisa kabisa na Mh Rais ktk swala la Corona mpaka kutamka maneno yaliyotuudhi...kwa nini hamumfukuzi chamani na ubunge pia.
Kuna mengi ya upotoshaji na uwongo amekuwa akiyasema since akiwa ktk Campaign za ubunge.Huyu apigwe chini fasta tumrudishie Halima wetu kiti chake.