Waitara ataka Wabunge wapimwe Ushoga kabla ya kuingia Bungeni

Waitara ataka Wabunge wapimwe Ushoga kabla ya kuingia Bungeni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,174
Reaction score
17,635
Mbunge Mwita Waitara wa jimbo la Tarime Vijijini mkoani Mara, amehoji endapo Serikali itakuwa tayari kufunga mashine ya kupima ushoga na usagaji bungeni kama sehemu ya wawakilishi hao wa wananchi kuonesha uwajibikaji kwa vitendo.

Waitara amehoji suala hilo leo Mei 20, 2025 kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni.

Pia soma > Pre GE2025 - MwanaCCM: Mashoga wamezidi na ndani ya chama wapo. Tutasimama vipi kwenye majukwaa kuomba kura?

 
Kipimo cha ushoga tutakipata wapi? Hajasema!
Nania atakuwa anampima nani, lini na wapi?
Tukishawapima na kuwapata tutawapa adhabu gani? Hajasema
Kwa sheria ipi ? Hajasema
Mbunge mpumbavu kwanza kwenye jamii yake wanaweza mpiga mawe
 
Back
Top Bottom