Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,174
- 17,635
Mbunge Mwita Waitara wa jimbo la Tarime Vijijini mkoani Mara, amehoji endapo Serikali itakuwa tayari kufunga mashine ya kupima ushoga na usagaji bungeni kama sehemu ya wawakilishi hao wa wananchi kuonesha uwajibikaji kwa vitendo.
Waitara amehoji suala hilo leo Mei 20, 2025 kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni.
Pia soma > Pre GE2025 - MwanaCCM: Mashoga wamezidi na ndani ya chama wapo. Tutasimama vipi kwenye majukwaa kuomba kura?
Waitara amehoji suala hilo leo Mei 20, 2025 kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni.
Pia soma > Pre GE2025 - MwanaCCM: Mashoga wamezidi na ndani ya chama wapo. Tutasimama vipi kwenye majukwaa kuomba kura?