Kumbe uliyasikia!!!! Ila huo ujinga ndio uliokuvutia na ukapenda ujulishe umma.Andika wewe hayo aliyosifia!!
Kumbe uliyasikia!!!! Ila huo ujinga ndio uliokuvutia na ukapenda ujulishe umma.
Akili ya pimbi pimbili hii!! Shirikisha ubongo wako ndugu usishabikie ujinga!!Magufuli kawavuruga, kila mtu anataka kujipima ubavu.
Wewe chizi nani alikutoa kule mirembe?Wewe unaona unashrikisha ubongo?
Rais anawagwaya UKAWA, lakini kwa sababu ya rais huyo huyo UKAWA wameanza kuwagwaya Wananchi , 2020 Magufuli hapigi kampeni.
Hakuna ukweli wowote nilioambiwa hapo, ukweli tutaujua 2019 na 2020.Waitara akirudi mnikate kidole mimi mkurya mwenzake lakini dalili za kumng'oa zimeshaonekana.
Wewe nguri wewe ni mkenya Tanzania unaitafutia nini?kaa kushoto huna uraia wa tanzania usisumbue watanzania,kama umshindwa rudi kenya harakaNaomba kuuliza hii nchi inaongozwa kwa katiba au amri...??
Jerry Slaa ndo' nani?Witara size yake mi Jerry Slaa, kwa magufuli ni mwendelezo ule ile wa kutaka umaarufu pasipo kuwa maarufu.
Kwani kila post mnalipwa shilingi ngapi?naona unalundika tu taka taka zako humu kwa kumjibu kila mtuHakuna cha maana alichokisema, ni mwendelezo ule ule wa kutafuta umaarufu. Aliyoyasema yamesemwa sana na watafuta umaarufu kama yeye, wamemuwahi.
MKUBWA akiamua kucheza cha ndimu, akubali tobo/dobo-MAKONGORO NYEREREMagufuli kawavuruga, kila mtu anataka kujipima ubavu.
Waitara si lolote na wala si chochote kwa Magufuli.
Yamekuwa hayoWewe kundi moja na Lissu, kundi la MIREMBE