Waitara ampandia Rais Magufuli

Waitara ampandia Rais Magufuli

katika pitapita hapa jf nikakutana na uzi unalalamikia kutozwa kwa channel za ndani yaani local channels wakati bunge lilipitisha kuwa local chanels zionyweshwe bure... sasa bwana mkubwa yule (mtoa post kule) alikuwa anasikia tu wenzake wakilalamika na kwa mujibu wa yeye mwenyewe alikuwa anaona watu wanalalamikia kitu kisichokuwapo kisa yeye nyumbani kwake anaangalia local channels bila malipo. Alisahau kuwa wakati bado haujafika kwa king'amuzi chake kulipia local channels...ilipofikia zamu yake haraka haraka akaibuka una uzi huo wa kulalamikia wizara ya habari utamaduni na michezo( sina hakika kama ndio wizara inayohusika kulishughulikia hili)
Ninachitaka kuwakumbusha watu hapa jf ni kuwa tusijisahau sana, hawa wapinzani ndio midomo yetu sasa waache waseme na wala tusiwadharau maana itafika wakati hiki wanachokilalamikia kitafika kwako. je utamlalamikia nani na wewe unaona watu eti wanatafuta umaarufu....kweli??!!...ukipenda kitu penda kwa kiasi maana hayo ni maumbo na kwa hiyo yanabadilika.
ahsanteni...
Punda tausikia mlio wake.
 
Kweli nachukia watu wanaotetea chama badala ya hoja. Kweli wananchi tunataka kiongozi tikteta kwa upinzani na asiyefuata sheria?
 
Dawa yenu inakuja Septemba mosi, yaani tutatoka kwa wingi zaidi ya viwavi jeshi.Hatukubali kukandamizwa Marne ya 21.
 
sheria ikifuatwa kila kitu kitaenda vizuri kwa mujibu wa sheria lkn sheria ikivunjwa watu watalalamika tu na watasema kwa jambo hili la kuvunja katiba mh ameteleza acha tuseme ukweli! hata maombi yetu kuiombea nchi amani yatakubaliwa na MUNGU kama tukisimama kwenye haki kama sio hivyo ni unafiki tu
 
Hakuna ukweli wowote nilioambiwa hapo, ukweli tutaujua 2019 na 2020.Waitara akirudi mnikate kidole mimi mkurya mwenzake lakini dalili za kumng'oa zimeshaonekana.
Wewe tumeshakujua na chuki zako binafsi kwanza sio mkurya og wewe ni jamii ya kikurya lakini Mimi mkurya og naejua kupika kichuri kiufasaha nasema kwamba atarudi Kwa kishindo kama alivyomtoa mtu Machozi pale pugu sec mwaka Jana...
Witara size yake mi Jerry Slaa, kwa magufuli ni mwendelezo ule ile wa kutaka umaarufu pasipo kuwa maarufu.

01/09/2016.

# UKUTA
 
Back
Top Bottom