Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Sisi ni Watanzania kwanza halafu ndiyo zinakuja dini zetu.
Binadamu toka kuzaliwa mpaka kufa ni mfumo wa kiamani zaidi unaomzunguka! hivyo kwanza imani (dini) kisha utaifa lakini katika Uislamu hatuna utaifa na ni dhambi kubwa kujifahamisha kwa utaifa! ndiyo maana Waislamu huwa tunaumizwa sana pale Mwislam yeyote anapoonewa sehemu yyt duniani. otherwise naona nyie mpo poa tu!