Ujui unachochangia na usilete masihara na mwenyenzi mungu,ALLAH SW atakupiga ww lungu kabla ya ww hujampiga Yeye,chunga maneno yako.Ndio maana mimi niliamua kuwa mpagani.
Hivi waislamu wanapotwangana kila kukicha misikitini huyo Allah wenu huwa anakuwa wapi kuwaamulia? Anafurahia waislamu wakitwangana wenyewe kwa wenyewe? Hawezi kuingia msikitini kuwaamulia hadi polisi waingie na virungu?
Iko siku mimi mpagani nitaingia humo msikitini mwenu na gongo langu hilo kwenye picha nililobeba niwatandike waislamu wanaopigana misikitini humo bila kujali kama ni BAKWATA au la halafu nimalizie kwa kumtandika marungu na mateke huyo Allah wenu na kumtandika rungu la kichwa kwa uzembe wa kuwaacha mnapigana bila kuwaamulia wafuasi wake.Shenzi type.
Weye wamuita allah mwenye mungu!! Astakafulah.Ujui unachochangia na usilete masihara na mwenyenzi mungu,ALLAH SW atakupiga ww lungu kabla ya ww hujampiga Yeye,chunga maneno yako.
Msikiti Mkuu wa Arusha unagombewa kwasababu unaingiza fedha nyingi,makundi yote yanatafuta ulaji tu nasi kuwasaidia waislam.Wazee wanaoendesha msikiti hawataki kufanyakazi nyingine ya kujiingizia kipato halali badala yake wanategemea mapato ya msikitini kwa manufaa yao binafsi.
Hapa ndipo waislam mulipopotelea- kutokuwa na organ munayoiheshimu na inayoweza kuwaunganisha waislam wote wa tz. Ni upunguwani kudai eti msikiti hauko chini ya bakwata wakati bakwata ndiyo chombo kikuu kikatiba. Sishangai kuona waumini wa msikiti mmoja wakiandamana kupinga viongozi wa kitaifa wa madhehebu ya kikristo wakati wao hawajaandamana. Shame upon you.Hao ndio BAKWATA!!! Kazi waliyopewa 1968 na Serikali ya Nyerere kuwadhibiti Waislamu na kuwachonganisha nao! kila kukicha BAKWATA na Waumini ni ugomvi usio na mwisho! hakika Serikali yetu ina Dini na wenye akili timamu ndio hutambuwa hili! mbona kunapotokea ugomvi ktk Makanisa hakuna askari hata mmoja anapelekwa Kanisani? mfano, kule Arumeru kulitokea machafuko miongoni mwa Walutheri lakini Serikali ilituma watu muhimu kusuuhisha, huko Mwanga kulikuwa na mgogoro wa Kanisa na Mzee Cleopa Msuya lakini pia ulimalizwa na Serikali bila ya kutuma Askari!Kwanini Waislamu wanadharauliwa hivi? ni wazi waumini wa Msikiti wa Arusha hawataki BAKWATA kuingilia mambo yao ya Msikiti lakini kwa kuwa BAKWATA ni chombo cha Serikali basi hawatakubali kuona Waislamu wanapata maendeleo!
Mkuu, katika Uislamu hatuna hiki kitu kinachoitwa Katiba (tuna Quran na Sunnah).Ni upunguwani kudai eti msikiti hauko chini ya bakwata wakati bakwata ndiyo chombo kikuu kikatiba.
usimsemee we si msemaji wakeI hope s/he is just making a joke..
This is pure Islam behavior
unahabari kuwa hii mada ni ya mwaka2008?!
Hii ni mada ya miaka mingi iliopita,Mods mna maana gani kuileta leo mwezi wa Ramadhani? Si mnatafuta mzozo na waislamu?!