SIM
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 1,795
- 1,300
Kadanganye ukoo wako eti wewe muislamu wakati andika yako tu unaonekana mgalatia
Huyo atakua ANGLIKANA
Kadanganye ukoo wako eti wewe muislamu wakati andika yako tu unaonekana mgalatia
Kwanza tujiulize hao waislam wanayoibua chuki ili nchi ikose AMANI, walitusaidia nini sisi waislamu wenzao? Ndiyo wanajinufaisha wao na familia zao na kuokota vimada Makafiri na kuwapeleka Nje. Kama kweli ni wazuri na wameyaona haya kwanza wangepeleka fedha kwenye jumuiya zetu ili shule nazo zijengwe kama wakristo wanavyofanya na hospital baada ya hapo tuone wanayosema. Wanatudanganya wazidi kutuvuruga kwa hili TUKIIUNGANA WAISLAM TUKAMUOMBA ALLAH UNAFIKI WAO UTAWAANGAMIZA WENYEWE.
Sijawahi ona thread yoyote iliyoandikwa na muislam humu jamvini kutoa malalamiko au kutusi iman hii ya upande wa pili,,kwanini mnapenda sana kutufuata fuata??wapo wanaodiriki kuitukana had qur an yetu na kuendelea kuudhalilisha uislam wetu,,kwani vipi??kama watu tumepotea leave us alone,,kwanin muonekane kuguswa na kuumia sana kwa sisi kua waislam??kwani mkoloni alipoondoka na kuwaachia hii dini aliwalazimisha??tuacheni haya mambo,bila wazee wenu hapo zamani kuja kutawaliwa na kufanywa watumwa kisha wakaachiwa hii dini na mkoloni nyie leo mngekua wakristo??whats so special about christianity to ur origination??
Kwanini mnapenda kutufata fata sana,nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu why mnapenda sana kutufanyia choko choko??
Makafiri tunaomba kila mtu achukue time zake,kila mtu achukue ustaarabu wake aamin kile anachokiamin,,
nyerere ni rais pekee duniani aliyenyang,anya shule na mahospitali ya waumini wa dini yake (wakristo) ili wafuasi wa dini isiyo ya kwake( waislamu) wasome na kutibiwa lakini anatukanwa zaidi na waislamu kuliko wakristo unafikiri utamfanyia nini mwisilamu ili kukidhi haja yake labda ubadili dini na tanzania yote kuwa ya waislamu.
Mungu Mmoja yupi??Watanzania, ni busara kila mmoja aheshimu dini ya mwenzie ili tulinde Amani yetu, cha msingi tuna mungu mmoja na sote tulizaliwa na tutakufa kwa wakati stahili. Chondechonde wapendwa tudumishe Amani, vita mbaya msione katika TV tuu.,
Eh mola tuepushe na hili balaa la kututenganisha kwa udini. Na hao wanaofanya ukorofi wa makusudi ni vyema wakachukuliwa hatua za kisheria. Lazima tuheshimiane.
Bila ya kujali iman yake je? Yanaukweli kiasi gani hayo aliyoyaandika?Na wewe leo umeshakua muislam? yaani ulivoanza kuandika tu ikajidhihirisha ww si muislam bali ni mnafiki usidandie imani isiyo yako, ww na mleta mada wadanganyeni wangija wezenu.
wee kafiriiii sisi waislamu tuanojitambua tumekwisha amka ule uislamu ubwabwa sasa hamna tena hapa mpaka kieleweke
na tunamuunga mkono kamanda wetu ponda issa ponda 100%.
Kadanganye ukoo wako eti wewe muislamu wakati andika yako tu unaonekana mgalatia