Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,056
- 1,867
Ukweli mchungu
Haijuzu kwa muislamu mwanamme na mwanamke kushirikiana na manaswara au mayahudi au makundi mengine katika sikukuu zao. Ni wajibu kuacha hilo kwa kuwa [Mtume amesema]:
“Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni miongoni mwao.”
. Ni juu ya muumini mwanamme na mwanamke kujiepusha na hilo wala wasihudhurie katika sikukuu zao kwa chochote
Huo ndio Ukweli mchungu
Haijuzu kwa muislamu mwanamme na mwanamke kushirikiana na manaswara au mayahudi au makundi mengine katika sikukuu zao. Ni wajibu kuacha hilo kwa kuwa [Mtume amesema]:
“Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni miongoni mwao.”
. Ni juu ya muumini mwanamme na mwanamke kujiepusha na hilo wala wasihudhurie katika sikukuu zao kwa chochote
Huo ndio Ukweli mchungu