Waislamu mnijibu tafadhali

Waislamu mnijibu tafadhali

josephwaara

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
304
Reaction score
640
Mimi ni Mkristo na kama mjuavyo tutakuwa na sikukuu ya pasaka siku ya Jumapili.
Sasa swali linaloniumiza kichwa ni hili, kuna rafiki yangu tunafanya kazi pamoja, pia ni majirani. Mimi nimeoa ila yeye yuko single na amefunga mwezi huu Ramadhan.

Je, naweza kumwalika nyumbani kama kumfuturisha hiyo siku ya jumapili? Au naweza kumpelekea chakula hiyo siku jioni badala ya kuja home?

Au nikaushe tu? Msaada wenu tafadhali.
 
uislam haujakataza kula wala kushirikiana na watu wa imani zingine na hata wasio na imani katika mambo mbalimbali

jambo kubwa ni kuzingatia sheria na kanuni tu mf.kuna baadhi ya vyakula na vinywaji ni haramu bila ya kujalisha umempa au kanunua mwenyewe
Mimi ni mkristo na kama mjuavyo tutakuwa na sikukuu ya pasaka siku ya jumapili.
Sasa swali linaloniumiza kichwa ni hili, kuna rafiki yangu tunafanya kazi pamoja, pia ni majirani. Mimi nimeoa ila yeye yuko single na amefunga mwezi huu Ramadhan.
Je naweza kumwalika nyumbani kama kumfuturisha hiyo siku ya jumapili? Au naweza kumpelekea chakula hiyo siku jioni badala ya kuja home?
Au niksushe tu? Msaada wenu tafadhali.
 
Mimi ni mkristo na kama mjuavyo tutakuwa na sikukuu ya pasaka siku ya jumapili.
Sasa swali linaloniumiza kichwa ni hili, kuna rafiki yangu tunafanya kazi pamoja, pia ni majirani. Mimi nimeoa ila yeye yuko single na amefunga mwezi huu Ramadhan.
Je naweza kumwalika nyumbani kama kumfuturisha hiyo siku ya jumapili? Au naweza kumpelekea chakula hiyo siku jioni badala ya kuja home?
Au niksushe tu? Msaada wenu tafadhali.
Mzee wangu sisi waislam tumefundishwa upendo kwa kila mtu so hatuwezi kushelekea ckukuu zenu za kiiman tu lakin kumpelekea muislam chakula hilo liko gud kabsa wala hakuna shida!! Mpeleke na atapokea na kukila pia lakin hawezi kuja kwenye sherehe kma hii ya pasaka cjui xmass
 
Hakuna ubaya kabsa ukifnya ivoo, na ww pia utahesabikka umefunga
 
Dini haijakataza kushirikiana wala kuishi na wasio waislam ila dini inakataza baadhi ya mambo. Mfano kusherehekea sikukuu zenu.

Mfano xmass, akija kusherehekea nawe xmaa maana yake anakubali kuwa yesu alisurubjwa msalabani na kuuwawa kinyume na utaratibu (imani) ya dini kuhusu tukio lile, ila ikiwa ndani ya siku hiyo hiyo ikawa umemualika aje na familia, zipate kuonana, kufahamiana nakdhalika hapo hakuna kosa,
Sijui kama umenielewa.

Ni kama kungekuwa na 9/dec na wengine wanaamin ilitokea 12/jan hivyo wa 9/dec akila na wa januari maana yake ameamini ya Januari.

Hivyo kama unampa futari mpe tu kama siku nyingine isiwe kwa nia ya KUSHEREHEKEA,
 
Peleka ila hakikisha hakuna vishiria vya hivyo vyombo kutumika kula nguruwe maana atakimwaga badala ya kukipokea umuwekee paja la kuku au mbuzi imeisha hyo.
 
Hap
Mimi ni mkristo na kama mjuavyo tutakuwa na sikukuu ya pasaka siku ya jumapili.
Sasa swali linaloniumiza kichwa ni hili, kuna rafiki yangu tunafanya kazi pamoja, pia ni majirani. Mimi nimeoa ila yeye yuko single na amefunga mwezi huu Ramadhan.
Je naweza kumwalika nyumbani kama kumfuturisha hiyo siku ya jumapili? Au naweza kumpelekea chakula hiyo siku jioni badala ya kuja home?
Au niksushe tu? Msaada wenu tafadhali.
Hapo inategemeana na chakula chako umepika kwa ajili ya nini?kama ukimwambia hiki chakula ni kwa ajili ya pasaka,kama ni Muisilamu Kweli wa Imani na Elimu hawezi kula,sababu hapo imeshaingia shiriki,yaani umemuingiza Mwenyezi Mungu wake na sikuku ya kipagani.

Lakini kama utapika Simple tu,bila kukishirikisha na kitu chochote atakula,maana hamna tofauti na mtu anayepika chakula kwa ajili ya mizimu,hiyo pasaka siyo shere ya Mwenyezi Mungu
 
Mimi ni mkristo na kama mjuavyo tutakuwa na sikukuu ya pasaka siku ya jumapili.
Sasa swali linaloniumiza kichwa ni hili, kuna rafiki yangu tunafanya kazi pamoja, pia ni majirani. Mimi nimeoa ila yeye yuko single na amefunga mwezi huu Ramadhan.
Je naweza kumwalika nyumbani kama kumfuturisha hiyo siku ya jumapili? Au naweza kumpelekea chakula hiyo siku jioni badala ya kuja home?
Au niksushe tu? Msaada wenu tafadhali.
Peleka hii atakuwa kaimiss sana

277759277_5143180799109471_2363180941933667133_n.jpg
 
Back
Top Bottom