Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Katika harakati zangu za hapa na pale leo nimepita maeneo kadhaa yakiwemo ya vijiweni. na katika story za hapa na pale nkaambiwa kesho tutakuwa mnaz mmoja ili wenzetu watolewe.
ki2 kingne katika kuhakisha story za vijiwen za kweli alikuja ustadh mmoja kwenye duka moja la waarabu liko barabara ya kutoka congo kwenda mnaz mmoja, wakat anaingia alionekana mwenyej eneo lile kias cha kuwa na utambuz kuwa mi mgen, akanitazama kama anataka kuniuliza k2, nkajiwah nkamwambia "asalam aleykhum shehe wangu" akajibu vzur akaanza na kutabasam, akasema nlijua we wa tofaut nkaogopa kutoa ujumbe wangu bwana. nkamwambia kuwa huru shehe wangu. akasema jaman kesho mnaz mmoja huku akimsisitiza wa dukan. wote kesho mnaz mmoja ad kieleweke, ilimrad uwe unajua kuongea kiswahili. akaondoka nkasema kimoyomoyo patanuka kesho.
NAWASILISHA.
ki2 kingne katika kuhakisha story za vijiwen za kweli alikuja ustadh mmoja kwenye duka moja la waarabu liko barabara ya kutoka congo kwenda mnaz mmoja, wakat anaingia alionekana mwenyej eneo lile kias cha kuwa na utambuz kuwa mi mgen, akanitazama kama anataka kuniuliza k2, nkajiwah nkamwambia "asalam aleykhum shehe wangu" akajibu vzur akaanza na kutabasam, akasema nlijua we wa tofaut nkaogopa kutoa ujumbe wangu bwana. nkamwambia kuwa huru shehe wangu. akasema jaman kesho mnaz mmoja huku akimsisitiza wa dukan. wote kesho mnaz mmoja ad kieleweke, ilimrad uwe unajua kuongea kiswahili. akaondoka nkasema kimoyomoyo patanuka kesho.
NAWASILISHA.