Waislam tumelogwa na nani?

Waislam tumelogwa na nani?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza.

Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa.

Kinyume chake kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maana.

Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Tuzinduke.
 
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa. Kinyume chake
kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maaana.
Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Kuanzia TSF sijui na nini tena hadi chini, wachezaji na wazamini woote na wana mabodi sijui 90% ni watu wenu.
 
Haya sasa ndio yalipaswa kuwa mahubiri ya kila siku humu, kukumbushana kumcha Mungu na kutenda mema. Na sio kukashifiana humu kisa utofauti wa dini.

Allah aendelee kutufanya kuwa watu wema 🤲

Hongera
 
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa. Kinyume chake
kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maaana.
Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Labda wakiona mchango wako hapa wewe "swala tano" wanaona na aheri wakapige nyagi za baridi.
 
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa.
Kwani wanaenda kobaz pekee?
Ungeongelea wote, punguza udini
 
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa. Kinyume chake
kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maaana.
Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Tuzinduke.
Hahaha 😆 😂
 
Haya sasa ndio yalipaswa kuwa mahubiri ya kila siku humu, kukumbushana kumcha Mungu na kutenda mema. Na sio kukashifiana humu kisa utofauti wa dini.

Allah aendelee kutufanya kuwa watu wema 🤲

Hongera
Kusema Biblia ni kitabu cha kutungwa wala Yesu hakifahamu na hakipo kwenye maandiko hiyo siyo kashfa ni ukweli.
 
Imagine unaenda na familia yako uwanjani, unaangalia mpira, unashangilia goli likifungwa,mnafurahi, dakika 90 zinaisha mnarudi nyumbani hamjakwazana na mtu hamjamtukana mtu.

Kuna mwingine somewhere anakuambia hii ni dhambi. Yaani binadamu baada ya mateso ya wiki nzima kwenye utafutaji wake ametenga siku moja arelax kidogo unaambiwa ni dhambi.

DINI ni jambo la ajabu sana kutokea kwa mwanadamu.

Watu wanaiheshimu dini zaidi kuliko wanavyomuheshimu Mungu.

Wewe ni fedheha kwa Waislamu.
 
Back
Top Bottom