Waislam tumelogwa na nani?

Waislam tumelogwa na nani?

Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa. Kinyume chake
kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maaana.
Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Tuzinduke.
Yaani wewe ni mdini hadi umepitiliza
 
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa. Kinyume chake
kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maaana.
Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Tuzinduke.
Sjaelewa mkuu wasiende uwanjani au wasishabikie mpira?
 
Uislam unaendelea kuwa dini ya ovyo,mpira dakika 90 unakuzuia nini kufanya mambo yako mengine
Ivi jambo la mtu mmoja ndio msimamo wa Waislamu wote mbona nchi zinazoaminika kuwa na Waislam wengi zinashiriki mpira wa miguu.
.Mfano: Mambo anayoyasema na kuyafanya yule anaejiita nabii Titto ndiyo msimamo wa wakristo?
 
Waislam hata kukemea dhulma tu hawawezi, imekuwa dini ya machawa! Na sio dini ya haki tena
 
Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maaana.
  • Mambo ya maana ni yapi
  • Je kama huyu muislam mwenzio anazingatia swala, lakini pia uwanjani anaenda,hapo kuna shida gani?
  • Kwakua unatambua umuhimu na uwepo wa anasa pia,unashauri utaratibu gani utumike
    • Mambo ya maana yawekwe mbele kuliko anasa au,
    • Watu waaache kabisa
__________________________

Mambo unayoyaona kuwa ni anasa , inawezekana kwa muislam mwenzio ndo mambo ya maana.
 
Prophet Godbless Lema is often right on many important matters. His views reflect deep insight into social and political challenges. He speaks boldly on issues affecting ordinary citizens, and his predictions or warnings frequently come true. This consistency in truth and foresight has earned him respect among many people who see him not only as a political figure, but also as a voice of conscience.
 
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza.

Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa.

Kinyume chake kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali hawafanyi. Anasa imekua mbele kuliko mambo ya maana.

Hata Dube akishinda utadhani milion za wadhamini utazipata?
Tuzinduke.
Dawa ya ni Dimoso na Sheikh Nyumdo hao.
 
Kama Saudi Arabia ina timu za mpira wa miguu kwa Wamaume na Wanawake, we ni nani wa kuwakosoa wenye Dini
 
waislamu ni dini ya maelite kukandamiza wachini kwa kuwadanganya na mambo kama hayo ya mpira au sijui kukariri Kurani wakati wao (maelite) na familia zao hawafanyi hivyo, kuna sababu kwa nini waislamu masikini na wa chini Dunia nzima hukimbilia Christian western countries, kwa sababu huko wanathaminiwa hata kama ni wa daraja la chini, bado wanaweza kuishi decent life na familia zao, kwa hiyo kukujibu swali lako waislamu hawajalogwa bali ndiyo uislamu wenyewe huo na falsafa yake, wajuu wanakanyaga wa chini kwa kuwadandangaya na mambo mpira au kufuturisha watoto yatima mara moja kwa mwaka na kupiga picha kusambaza kila mahali lkn hao watoto yatima wataishije baada ya hiyo futari kuyeyuka tumboni muislamu elite hajali cha muhimu kaonekana kwenye kamera na watoto yatima, au maelite kula keki kwenye tv kwenye jamii ambayo nje tu ukifungua mlango watoto wanapekuwa jalalani kutafuta kitoweo, lkn maelite wanakata keki kwenye tv, haijawahi kutokea tangia kuanzishwa kwa republic yetu …
 
Back
Top Bottom