Roma wana makanisa na mahospitali nchi nzima kwa hiyo nao utasemaje?Lengo na mission kuu ya Waislam kwenye hii Dunia ni kueneza Dini yao na kumfanya kila mtu awe Muislam, hata juzi JPM kapata msaada wa mabomba ya msikiti kule chato kutoka nchi flani ya huko Uarabuni.. jamaa wabinafsi sana lengo lao ni kueneza utamaduni wao na sio kusaidia binadamu
Akili zenu muwe mnazijaza vitu vyenye mashiko!!!
Kwani unashikiwa bunduki au kisu kukubali dini fulani?