Patty B
Member
- Jan 5, 2011
- 32
- 3
Kwa kweli swala la imani ni gumu sana kuliangalia katika mioyo ya watu...waweza kataza watu wakakukubalia machoni ili kukufurahisha lakini wakatenda watakavyo!
Sioni kama ni vema kuwakataza watu kwenda kujaribu tiba, maana sijasikia kama Babu amewashawishi watu kubadili dini au kuihusisha dawa na swala la kubadili watu itikadi na imani zao....! Waacheni waende jamani wanaumwa hao!
Sioni kama ni vema kuwakataza watu kwenda kujaribu tiba, maana sijasikia kama Babu amewashawishi watu kubadili dini au kuihusisha dawa na swala la kubadili watu itikadi na imani zao....! Waacheni waende jamani wanaumwa hao!