muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
wanasema mbona hawajitokezi na kupimwa hospital?
Kwani wameitwa? kwanza wasiende watatumalizia dawa yetu! ingekuwa wao...usingetia mguu hadi uitwe Juma, rahima, ramadhani n.k ndio maana hata ile mboga 'hawali'!!!!!
Too late wameshaenda wengi,mahita mmojawapo.
Jana kulikuwa na mjadala na kuwataka waislam kuacha kwenda liliondo. walisema hio ni dawa ya kiini macho. walisema kama kuna mtu amepowa kwa dawa hiyo ajitokeze waziwazi kabla ya kupoa akiuumwa nini na sasa apime aonyeshe kwamba kama kweli amepoa.
waliwataka waislam kuachana na kabisa dawa hiyo wanayoita ni DECI
Mataifa yote yatakiri kuwa Yesu ni jina kuu kuliko majina yote, sioni sababu ya waislamu kusuiwa kwenda pale kukutana na uponyaji, maana kwa babu unapokea dawa na unaombewa, sasa wasitake kuwazuia watu acha watu washuhudie uweza na nguvu ya Mungu.. maana kwa jina la Yesu wagonjwa wanapona na wenye shida wanafunguliwa..... hawana akili hao jamaa waliotoa hilo tamko mbona hata siku moja wakristo hawajawahi kutumia vyombo vyao vya habari kuwakataza wakristo wasiende pale Mwembechai kwa sheikh yahya?