Waisilamu changamkieni fursa kipindi hiki cha uhaba wa maji

Lengo inaweza ikawa kuhamasisha wengine wajitolee
 
Umegonga mahali pema, Juma Aweso kumbe ndiye waziri wa maji na ni muislamu swadakta kabisa, so kwa andiko hili anapaswa kuchukua wazo lako na kuongezea na hili hapa 👇🏾...

 
Yesu alisema utoapo sadaka sio msaada.Umeongeza chumvi

Misaada sio sadaka.Mtu akijitangaza akitoa msaada Ni sawa tu
 
Magufuli aliijua dini ndio maana alihakisha Hakuna ratiba ya mgao wa maji kipindi chake

Sasa hivi tuna wasiojua dini ndio maana wanapanga Hadi ratiba za watu kukosa maji Tena waislamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…