BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 577
- 1,736
- Thread starter
- #21
Kujitolea ni sifa kuu ya Uyahudijipange, subiri black jews waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujitolea ni sifa kuu ya Uyahudijipange, subiri black jews waje
AhlanShukrani kwa ujumbe mzuri
Lengo inaweza ikawa kuhamasisha wengine wajitoleeJapokuwa ni suala jema lakini inaleta ukakasi mtu anapojitangaza kuwa katoa msaada fulani kwa watu fulani kama wafanyavyo watu wasiomjua Mungu.. ...
Yesu anasema ukitoa msaada usipige parapanda maana Mungu aonaye sirini anajua umetoa na atakulipa kwa kadri inavyofaa... Sasa hapa sadaka imekuwa kama matangazo ya biashara ....
Mungu atujalie wepesi tusitafute sifa kwenye kusaidia wenye uhitaji
AhlanHaya ndio mafundisho ya dini ya kweli..sio mambo ya kulipuana mabomu kisa wote tuvae kobazi..happ tu ndio hua siwaelewagi kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtume alisema maji sababu ya jangwa la macca na madina,mtu wa congo drc au mwanza umwambie maji ni kitu adhimu hakuelewi,so hayo maandiko hayatuhusu sisi
Yesu alisema utoapo sadaka sio msaada.Umeongeza chumviJapokuwa ni suala jema lakini inaleta ukakasi mtu anapojitangaza kuwa katoa msaada fulani kwa watu fulani kama wafanyavyo watu wasiomjua Mungu.. ...
Yesu anasema ukitoa msaada usipige parapanda maana Mungu aonaye sirini anajua umetoa na atakulipa kwa kadri inavyofaa... Sasa hapa sadaka imekuwa kama matangazo ya biashara ....
Mungu atujalie wepesi tusitafute sifa kwenye kusaidia wenye uhitaji