Wairaqw ndivyo walivyo?

Status
Not open for further replies.

Naas loale garma🙂))
 
Magoo, ukimya ni tabia zao, hivyo ndivyo walivyo, hawane neno kabisa hao, ni wewe tuu. Kabila hilo ni jamii za Wambulu, Warangi, Wahadzabe, Wataturu, Wabarbaig, Wanyaturu, Wabalungi na Wasandawe, yaani ni wa kimya na hawana maneno kwenye kila kitu.

Tatizo lao ni moja tuu, hawana roho mbaya, hivyo wengi huishia kuwa na huruma sana kufikia kiwango cha anapohitajika, hujinyamazia tuu ni wewe kushika mkono na kuendelea!
 

Pasco nakusahihisha hakuna kabila la wambulu kamwe? Namaanisha utasema sasa Wakaratu, wababath, wahanang' etc
 
bado kuna watu wanaoa kabila mambo mengine ni tabia za mtu binafsi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…