Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,305
- 772
Jaman waimbaji wote wa taarab wa kiume pamoja na wapenzi na mashabiki wao wa muziki huo, naombeni saaaaaana mnisamehe kwa hili.
Zamani nilikuwa najua kwamba wanaume wote wanoimba aina hiyo ya ni lazima huwa wanafanyiwa mchezo mchafu na wanaume wenzao.
Na sababu ya kuhic ivo imetokana na staili au matakwa ya nyimbo hizo kwamba muimbaji ni lazima abane pua....lakin pia na aina ya mashabiki wa hizo nyimbo ambao wengi wao walionekana wanaume sio "chakla".
Zamani nilikuwa najua kwamba wanaume wote wanoimba aina hiyo ya ni lazima huwa wanafanyiwa mchezo mchafu na wanaume wenzao.
Na sababu ya kuhic ivo imetokana na staili au matakwa ya nyimbo hizo kwamba muimbaji ni lazima abane pua....lakin pia na aina ya mashabiki wa hizo nyimbo ambao wengi wao walionekana wanaume sio "chakla".