Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,920
- 4,015
Kwani kuwa na mke kunazuia nini?
Hawa waimba taarabu hasa wakutokea Zenj wengi wao ni chakla..afadhali ya Bongo
Kiringo kawatafuna sana hawa..Usiwaone wana wake wawili na kuvaa suruali ..
Wengine Mabwana zao wako Nchi za watu..Wanapewa mialiko tu..
Mkuu una uhakika na unachosema?
Kama unaushahidi hebu weka hapa, usiongee mambo kwa hisia tu.