Wahuni siyo watu wazuri

Wahuni siyo watu wazuri

Dah! Hii mambo kitambo Jamaa yangu alichukua pikipiki ya baba yake bila kuomba tukaenda kuchota kwa Demu wake, tepaki njiani mahibfi yakiwa na mbelewele, tunabonga na Mtoto, yaani twajiona tupo juu sana, Mara nilipita KIPANDE cha Tofali katikati yetu vuuuuuu! *****, tulipoteana. Kila mmoja aliingia kwake. Day 2 tunaingia shule sec asubuhi kila moja hajui mwenzake ilikuwaje. Kumbe Jamaa alienda home akaja na broo wako kuchukua pikipiki usiku na waliikuta Uko vizuri tu. Yule Binti alienda sema kwa baba yake kuwa kaka zake walituvsmia sisi wkt tulienda pale kumpelekea material. Mzee alikuwa msure tu akasgiza ilindwe HD wenyewe waje. Kipindi hicho 1990s wansojua pikipiki hamna kabisa. Ingalikuwa sasa wasingeikuta
Daah ilikuwa hatari sana
 
Siku nyingine ukiwa na demu mtangulize mbele wewe kuja nyuma mdogomdogo kama hatua kadhaa...mkuu hiyo ni protokali hata kama ni mkeo,kuna siku utakuja kudanja kimasikhara tu,mi kabla ya kuijua hii miaka kadhaa nyuma kulikuwa na kidemu flani kilikuwa kinanishobokea kichizi yaani halafu mitaa yetu iko mbalimbali,sasa tulikuwa na tabia moja hivi kalikuwa kanakuja gheto saa 9 au 10 hivi,tunapiga mambo yetu saa 12 au saa 1 hivi nakasindikiza hadi karibu na mitaa yao,sasa kuna siku hiyo ndo niliingia anga za masela mida ya saa 1 hivi usiku,nashangaa tu machizi wamenizunguka,masela kama wanne hivi kwa hesabu za harakaharaka "oyaa we fala wapi na demu wetu"??""dah siku ile nilikula makofi mitama mixer ndosi za maana tu,hata kujitetea nilishindwa,pindi hiyo nilikuwa chalii tu halafu wale wahuni walikuwa mabraza yaan njemba...cha kunishangaza yule demu alikuwa ananitetea kwa kuwataja majina yao yaani walikuwa wanafahamiana..tokea siku washkaji wakanishauri nikiwa na demu nisitembee naye sambamba yan atangulie mbele halafu mi nije kwa nyuma mdogo mdogo
Mi nikiwa na mubebe aisee tutauana.

Nilikua namrudisha binti kwao, wote tunaishi mtaa huo huo ila yeye upande mwingine.

Tumefika njia fulani ambapo kwao tunapaona na ina giza la kutosha tu nasikia sauti "We malaya" mi na binti tukasimama. Ile ile sauti ikasema "Kum2m2ko sogea huku"

Sasa mi nawaza huyu mhuni gani hanijui mimi mtaa huu? Wahuni wakubwa nilikua nao kundi la Majani Unit, wahuni wa Kisiwani na maeneo yanayotuzunguka hua wananiletea simu za wizi kutoa lock, wahuni wapya wakati wanakua nawaona, wahuni wengine nipo nao gym. Hawa wahuni gani?

Mara wakajitokeza washkaj watano. Nawaona tu pale street mmoja akasema "We malaya unaringa halafu mbaya kishenzi" nikapeleka kitasa. Akasogea wa pili kitasa, nikavamiwa nikawekwa chini ebwana nilikula mabomba hapo binti kaenda kuwaita kaka zake.

Kaka zake kufika hawajauliza wakaingilia show ndiyo nikaponea hapo.
 
Mi nikiwa na mubebe aisee tutauana.

Nilikua namrudisha binti kwao, wote tunaishi mtaa huo huo ila yeye upande mwingine.

Tumefika njia fulani ambapo kwao tunapaona na ina giza la kutosha tu nasikia sauti "We malaya" mi na binti tukasimama. Ile ile sauti ikasema "Kum2m2ko sogea huku"

Sasa mi nawaza huyu mhuni gani hanijui mimi mtaa huu? Wahuni wakubwa nilikua nao kundi la Majani Unit, wahuni wa Kisiwani na maeneo yanayotuzunguka hua wananiletea simu za wizi kutoa lock, wahuni wapya wakati wanakua nawaona, wahuni wengine nipo nao gym. Hawa wahuni gani?

Mara wakajitokeza washkaj watano. Nawaona tu pale street mmoja akasema "We malaya unaringa halafu mbaya kishenzi" nikapeleka kitasa. Akasogea wa pili kitasa, nikavamiwa nikawekwa chini ebwana nilikula mabomba hapo binti kaenda kuwaita kaka zake.

Kaka zake kufika hawajauliza wakaingilia show ndiyo nikaponea hapo.
Kuna watu wanapiga vibaya aiseee
 
Shida yako mleta mada unataka kuishi maisha ya kitamthilia.

Punguza kutazama hizo mambo.
 
Back
Top Bottom