Siku nyingine ukiwa na demu mtangulize mbele wewe kuja nyuma mdogomdogo kama hatua kadhaa...mkuu hiyo ni protokali hata kama ni mkeo,kuna siku utakuja kudanja kimasikhara tu,mi kabla ya kuijua hii miaka kadhaa nyuma kulikuwa na kidemu flani kilikuwa kinanishobokea kichizi yaani halafu mitaa yetu iko mbalimbali,sasa tulikuwa na tabia moja hivi kalikuwa kanakuja gheto saa 9 au 10 hivi,tunapiga mambo yetu saa 12 au saa 1 hivi nakasindikiza hadi karibu na mitaa yao,sasa kuna siku hiyo ndo niliingia anga za masela mida ya saa 1 hivi usiku,nashangaa tu machizi wamenizunguka,masela kama wanne hivi kwa hesabu za harakaharaka "oyaa we fala wapi na demu wetu"??""dah siku ile nilikula makofi mitama mixer ndosi za maana tu,hata kujitetea nilishindwa,pindi hiyo nilikuwa chalii tu halafu wale wahuni walikuwa mabraza yaan njemba...cha kunishangaza yule demu alikuwa ananitetea kwa kuwataja majina yao yaani walikuwa wanafahamiana..tokea siku washkaji wakanishauri nikiwa na demu nisitembee naye sambamba yan atangulie mbele halafu mi nije kwa nyuma mdogo mdogo