Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,101
- 190,491
Wakuu kwema,
Jamani katika harakati za kulainisha vyuma nimefanikiwa kufungua baa ambayo ina jiko kwa ajili ya mdudu spesho.
Katika uendeshaji wa Baa hii changamoto kuu niipatayo ni wafanyakazi. Nakosa wafanyakazi serious ambao wana moyo wa kazi maana niliokuwa nao wengi ni wasumbufu na hawatulii kazini..Wanakaa kwa muda kidogo kisha wanaanza pozi. Option inakuwa kukomaa nao maana ukiwatimua fasta kupata wengine ni ishu.
NB: Kama kuna recruitment agency ya ma bar maids naomba nipatiwe mawasiliano yao tafadhali. Niko Mkoa wa Kilimanjaro
Jamani katika harakati za kulainisha vyuma nimefanikiwa kufungua baa ambayo ina jiko kwa ajili ya mdudu spesho.
Katika uendeshaji wa Baa hii changamoto kuu niipatayo ni wafanyakazi. Nakosa wafanyakazi serious ambao wana moyo wa kazi maana niliokuwa nao wengi ni wasumbufu na hawatulii kazini..Wanakaa kwa muda kidogo kisha wanaanza pozi. Option inakuwa kukomaa nao maana ukiwatimua fasta kupata wengine ni ishu.
NB: Kama kuna recruitment agency ya ma bar maids naomba nipatiwe mawasiliano yao tafadhali. Niko Mkoa wa Kilimanjaro