TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,723
- 10,232
Tapeli , baba wa manabii fekiUebert Angel
Tapeli , baba wa manabii fekiUebert Angel
Usihofu, atatoka tu.Yule mwamba wa kikosi kazi,namsubiri amalize kifungo chake.
hao ni matapeli hata bila kuuliza. kuhani musa na muuza mafuta na maji, moto wao utakuwa mkali sana.Bila mwamposa na kuhani musa uzi wako batili,,
Lakini nafikiri hakumaanisha hivyo. Alilenga fikra, kwamba kama wazo ovu halipo moyoni mwa mtu, hawezi kufanya uovu. Kwa hiyo, kama mtu hafikirii hicho, kamwe hawezi kufanya.Pastor Chris oyakilome aliwahi kusema
"kufanya masterbation sio dhambi"
Hii ilinitisha kidogo maana nilikua mfuasi wake mzuri.
Mtumishi umekuwa mtoa hukumuhao ni matapeli hata bila kuuliza. kuhani musa na muuza mafuta na maji, moto wao utakuwa mkali sana.
Injili ya chini ya bahari ikoje mkuu?Keshadondoka kitambo tu, yeye na Aubert Angel.. Mzee wa Good news amedaka vijana wengi bongo... Na Injili yake ya chini ya Bahari... 😭😭
hakuna kupepesa macho kwa matapeli, wenyewe wanajijua. injili yao hata kwenye Biblia haipo. huyo kuhani mtoto wa yesu wa mkombo aliyefukuziwa congo huyo, na mwamposa anajua alikotoka. washindwe kwa Jina la Yesu.Mtumishi umekuwa mtoa hukumu
Pastor Carlos Kirimbai ni wa wapi?Kwangu mimi mpaka sasa kwa hapa Tanzania ni hawa.
1. Mwalimu Christopher Mwakasege
2. Pastor Carlos Kirimbai
Jamaa wanaijua bible fresh, wanaisoma kila siku, na wanatamani kila mtu aisome Bible fresh na kuitambua. Yote kwa yote wanakufanya umjue Yesu at personal level bila kubabaishwa na chochote au yoyote.
Naambiwa walifanikiwa kuukwepa upepo wa kidini (kidhehebu) uliokuwa ukivuma vilivyo miaka ya 90, na wamefanikiwa pia kuuvuka huu upepo wa sasa wa tamaa za mali na umungu mtu unaotikisa kanisa la Tz kwa zaidi ya 80%.
Yote kwa yote jamaa wanaweza kukushawishi umjue Yesu na kuijua Bible fresh hata kama wewe sio mkristo au wewe ni mpagani.
Kwa issue ya udini sijui udhehebu, Mwl Mwakasege kafanikiwa kuukwepa huo mtego. Mmoja wa watumishi aliojifunza kwake ni Aaron B. C. Mabondo. Kwa mujibu wa kitabu cha Historia ya maisha na utumishi wa marehemu Aaron B. C. Mabondo, alikuwa ni "mentor" wa Mwakasege.Kwangu mimi mpaka sasa kwa hapa Tanzania ni hawa.
1. Mwalimu Christopher Mwakasege
2. Pastor Carlos Kirimbai
Jamaa wanaijua bible fresh, wanaisoma kila siku, na wanatamani kila mtu aisome Bible fresh na kuitambua. Yote kwa yote wanakufanya umjue Yesu at personal level bila kubabaishwa na chochote au yoyote.
Naambiwa walifanikiwa kuukwepa upepo wa kidini (kidhehebu) uliokuwa ukivuma vilivyo miaka ya 90, na wamefanikiwa pia kuuvuka huu upepo wa sasa wa tamaa za mali na umungu mtu unaotikisa kanisa la Tz kwa zaidi ya 80%.
Yote kwa yote jamaa wanaweza kukushawishi umjue Yesu na kuijua Bible fresh hata kama wewe sio mkristo au wewe ni mpagani.
🙏🙏🙏Samwel Kakande wa The Kakande Ministries Uganda.
BJ Makananisa wa South Africa
Mwalimu Christopher Mwakasege nawafuatilia wapo vizuri kwenye kufundisha na kueneza neno la Mungu
Mkuu, sikuelewi kabisa unachomaanisha kwa kusema kuwa Mwalimu wetu hajawaji kuexperince wokovu wa kweli. Ni Mwalimu yupi huyo? Mwakasege?huyo Uebert Angel, umepotea. mwalimu wenu pia ni mhubiri mzuri ila huwa hajui hata anachohubiri kwasababu hajawahi kuexperience wokovu wa kweli. the same kwa kimaro. mwenye kuelewa ameelewa.
Wataje tu mkuu ili tuwafahamu.Wapo pia mapadre wa kanisa katoliki na maaskofu walio wazuri sana katika kufundisha neno la Mungu ila kwa vile sio popular hawawezi kutajwa hapa .
Mtume Nabii Mchungaji Dkt Mwampo..Ungetaja tu yule tapeli anayemwaga mafuta na kuuza maji ningekushangaa.
Uebert Angel ana shida gani mkuu? Mbona yupo vizuri tu!Uebert Angel? Dah!