Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

Pastor Chris oyakilome aliwahi kusema

"kufanya masterbation sio dhambi"

Hii ilinitisha kidogo maana nilikua mfuasi wake mzuri.
Lakini nafikiri hakumaanisha hivyo. Alilenga fikra, kwamba kama wazo ovu halipo moyoni mwa mtu, hawezi kufanya uovu. Kwa hiyo, kama mtu hafikirii hicho, kamwe hawezi kufanya.

Nimeitafuta clip yake mtandaoni baada ya kuiona comment yako. Hamaanishi watu wajichue, bali wasiwe na hizo fikra.
 
Kwangu mimi mpaka sasa kwa hapa Tanzania ni hawa.
1. Mwalimu Christopher Mwakasege
2. Pastor Carlos Kirimbai

Jamaa wanaijua bible fresh, wanaisoma kila siku, na wanatamani kila mtu aisome Bible fresh na kuitambua. Yote kwa yote wanakufanya umjue Yesu at personal level bila kubabaishwa na chochote au yoyote.

Naambiwa walifanikiwa kuukwepa upepo wa kidini (kidhehebu) uliokuwa ukivuma vilivyo miaka ya 90, na wamefanikiwa pia kuuvuka huu upepo wa sasa wa tamaa za mali na umungu mtu unaotikisa kanisa la Tz kwa zaidi ya 80%.

Yote kwa yote jamaa wanaweza kukushawishi umjue Yesu na kuijua Bible fresh hata kama wewe sio mkristo au wewe ni mpagani.
Pastor Carlos Kirimbai ni wa wapi?
 
Kwangu mimi mpaka sasa kwa hapa Tanzania ni hawa.
1. Mwalimu Christopher Mwakasege
2. Pastor Carlos Kirimbai

Jamaa wanaijua bible fresh, wanaisoma kila siku, na wanatamani kila mtu aisome Bible fresh na kuitambua. Yote kwa yote wanakufanya umjue Yesu at personal level bila kubabaishwa na chochote au yoyote.

Naambiwa walifanikiwa kuukwepa upepo wa kidini (kidhehebu) uliokuwa ukivuma vilivyo miaka ya 90, na wamefanikiwa pia kuuvuka huu upepo wa sasa wa tamaa za mali na umungu mtu unaotikisa kanisa la Tz kwa zaidi ya 80%.

Yote kwa yote jamaa wanaweza kukushawishi umjue Yesu na kuijua Bible fresh hata kama wewe sio mkristo au wewe ni mpagani.
Kwa issue ya udini sijui udhehebu, Mwl Mwakasege kafanikiwa kuukwepa huo mtego. Mmoja wa watumishi aliojifunza kwake ni Aaron B. C. Mabondo. Kwa mujibu wa kitabu cha Historia ya maisha na utumishi wa marehemu Aaron B. C. Mabondo, alikuwa ni "mentor" wa Mwakasege.

Siku Mwakasege alipoona semina ya Mabondo imehudhuriwa na watu toka madhehebu mbalimbali, alimtafuta na kumwuliza siri ya mafanikio yake. Kuanzia siku hiyo, Mzee Mabondo akawa kama mshauri wake katika huduma.
 
huyo Uebert Angel, umepotea. mwalimu wenu pia ni mhubiri mzuri ila huwa hajui hata anachohubiri kwasababu hajawahi kuexperience wokovu wa kweli. the same kwa kimaro. mwenye kuelewa ameelewa.
Mkuu, sikuelewi kabisa unachomaanisha kwa kusema kuwa Mwalimu wetu hajawaji kuexperince wokovu wa kweli. Ni Mwalimu yupi huyo? Mwakasege?

Mimi binafsi, Mwalimu wangu ni Roho Mtakatifu, na Mwakasege ni Mtumishi wa MUNGU anayefundisha Neno la Mungu lililovuviwa na Roho Mtakatifu.

Kuhusu kuexperince wokovu, sijajua umemaanisha nini hasa.

Labda nikuulize kama hutojali! Unamfahamu Marehemu Ask. Mosses Kulola? Na Aaron Mabondo je? Hao watumishi - Kulola na Mabondo waliexperience wokovu wa kweli?
 
Hao unawakibali kwa sababu wananeno la Mungu ama kwa sababu wanajua kuhubiri?
 
Back
Top Bottom