Wahoji Jaji Nyalali, Samatta kukosa nishani za Ikulu

Kama kigezo kilikuwa ni uadilifu kama mtendaji (kama inavyodaiwa) basi Mkapa asingestahili kupata maana katika miaka 10 yote aliyokuwa madarakani hakuwa na uadilifu hata chembe.

Mkuu kigezo muhimu kilikuwa ni kuwa kada wa TANU/CCM hiyo ya uadilifu,uchapa kazi na uzalendo havikuwa vigezo muhimu!
 
Siku hizi siyo ajabu kusikia au kuona mheshimiwa Rais akipokea au akisaini vitu vilivyochakachuliwa, hivyo siyo ajabu (kwa wakati huu na watu walewale) kutoa nishani kwa wasiostahili na kunyimwa wanaostahili!
 
MALALAMIKO NA LAWAMA VIMEZIDI!
Mtalalamika hata visivyo na maana kivile.
Kwani ingewezekana kumpa kila mtu?
Ningependekeza mjadala uelekezwe kwenye
kujadili vigezo kama vipo, na siyo kwanini
watu fulani wamepata au watu fulani hawakupewa.
 
Hivi mnatumia vigezo gani kudai furani kanyimwa sijui kaachwa, Hivi kulikuwa na master list then hao wamo lakini wakarukwa? je, zilitakiwa zitolewe nishani ngapi? kumi, mia au mia saba? Na kwanini mfano mimi sikupata? Vigegezo mnavijua. Utalalamikaje eti utaratibu wa kufanya jambo furani ulikiukwa wakati hata hou utaratibu wenyewe huujiu. Ndugu zangu huko ndo kudandia tren kwa mbele. Swali lingekuwa hivi; NI VIGEZO VIPI VINATUMIKA KUTOA NISHANI? Wakati mwingine tunapenda sana kujadili hata mambo tusioyajua. Mi nadhani mtoa nishani ndo anajua vigezo aliwapa alioona wanafaa. Na nadhani wanfaa. Kwanza kama kila mtu atapata nishani nini maaana ya nishani sasa. Kwanza zingekuwa kama tatu hivi. Angetoa kidogo lawama, nyingi lawama naona fani ya ulalamishi inazidi kupanda chati tuta pata mapfrofessor wa ulalamishi
 
Mkuu kigezo muhimu kilikuwa ni kuwa kada wa TANU/CCM hiyo ya uadilifu,uchapa kazi na uzalendo havikuwa vigezo muhimu!

hao walimwagwa bado nao ni makada wao labda siyo weaaminifu kwa JK ila kwa TZ baadhi yao...................
 
Hivi mnatumia vigezo gani kudai furani kanyimwa sijui kaachwa, Hivi kulikuwa na master list then hao wamo lakini wakarukwa? je, zilitakiwa zitolewe nishani ngapi? kumi, mia au mia saba? Na kwanini mfano mimi sikupata? Vigegezo mnavijua. Utalalamikaje eti utaratibu wa kufanya jambo furani ulikiukwa wakati hata hou utaratibu wenyewe huujiu. Ndugu zangu huko ndo kudandia tren kwa mbele. Swali lingekuwa hivi; NI VIGEZO VIPI VINATUMIKA KUTOA NISHANI? Wakati mwingine tunapenda sana kujadili hata mambo tusioyajua. Mi nadhani mtoa nishani ndo anajua vigezo aliwapa alioona wanafaa. Na nadhani wanfaa. Kwanza kama kila mtu atapata nishani nini maaana ya nishani sasa. Kwanza zingekuwa kama tatu hivi. Angetoa kidogo lawama, nyingi lawama naona fani ya ulalamishi inazidi kupanda chati tuta pata mapfrofessor wa ulalamishi

vigezo ambavyo vinakubalika ni pamoja na kuwepo na chombo huria cha wa-TZ wote katika kulijenga taifa letu..........................kigezo cha pili ni kuweka vigezo husika hadharani na kuwaomba wananchi watoe maoni yao kwenye chombo hicho juu ya nani anastahili kupewa nishani za kitaifa...................ili kuondoa hisia za kupendeleana au kukomoana kupitia nishani tajwa..................kifupi ni utaratibu shirikishi ndiyo ufumbuzi wa hili sakata......
 
Tatizo la Samatta Aliposema katiba ya sasa inaendelea kumfanya raisi aendelee kuwa Dikteta... Jambo lililo mkera Mkwe,re hadi akaitisha mkutano na wazee kumtoa nishai Samatta ... unadhani angempa Nishani ya nini ... Huyo E.L alijua hatopata baada ya Taifa stadium alipotea na kuja kukutwa Arusha .
 
Hivi mnatumia vigezo gani kudai furani kanyimwa sijui kaachwa, Hivi kulikuwa na master list then hao wamo lakini wakarukwa? je, zilitakiwa zitolewe nishani ngapi? kumi, mia au mia saba? Na kwanini mfano mimi sikupata? Vigegezo mnavijua. Utalalamikaje eti utaratibu wa kufanya jambo furani ulikiukwa wakati hata hou utaratibu wenyewe huujiu. Ndugu zangu huko ndo kudandia tren kwa mbele. Swali lingekuwa hivi; NI VIGEZO VIPI VINATUMIKA KUTOA NISHANI? Wakati mwingine tunapenda sana kujadili hata mambo tusioyajua. Mi nadhani mtoa nishani ndo anajua vigezo aliwapa alioona wanafaa. Na nadhani wanfaa. Kwanza kama kila mtu atapata nishani nini maaana ya nishani sasa. Kwanza zingekuwa kama tatu hivi. Angetoa kidogo lawama, nyingi lawama naona fani ya ulalamishi inazidi kupanda chati tuta pata mapfrofessor wa ulalamishi
Watu wanahoji vigezo vilivyotumika kuwapa waliopewa na kuwakosesha waliokosa kama vipo. Bila shaka vikiwekwa wazi tutaondoa utata.
 
Back
Top Bottom