Wahitimu wa Shule Feza (Feza Alumni) wakijumuika katika Chakula na Michezo Mbalimbali kweny sikukuu ya Eid jana wakati walipowatembelea Watoto hao kituo cha Chakuwama hili kuwafariji Watoto. pia wahitimu hao walipata Fedha hizo kwa kuwapaka Hinna watu na kuhuza Ubuyu sehem mbalimbli hapa Nchin