Wahitaji wa Kuni

Wahitaji wa Kuni

Joined
Aug 7, 2017
Posts
44
Reaction score
15
Tunauza na kusafirisha kuni toka kijiji cha mafumbi pwan had Dar...... Ikiwa wewe n muuzaji wa rejareja tutakuletea mzgo had kwako au kukukodsha lesen yetu ya uvunaji miti ikiwa huna....... Tunawakarbsha shule... Vyuo na sehemu mbalimbali 0712770729 au 0685580057

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunauza na kusafirisha kuni toka kijiji cha mafumbi pwan had Dar...... Ikiwa wewe n muuzaji wa rejareja tutakuletea mzgo had kwako au kukukodsha lesen yetu ya uvunaji miti ikiwa huna....... Tunawakarbsha shule... Vyuo na sehemu mbalimbali 0712770729 au 0685580057

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali si inapiga vita utumiaji miti kupata moto? Sasa nyinyi vipi tena jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali si inapiga vita utumiaji miti kupata moto? Sasa nyinyi vipi tena jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imekataza watu kuvuna miti illegal ila sisi tuna lesen ya uvunaji miti inayotolewa na Maliasili vi-a Tanzania forest servicé (TFS) na lesen hizi hutolewa kila mwaka kwa wanaoitaji miti ya kibiashara na tunapewa idad maalum ya kuvuna kwa mwaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weken bei zenu hapa
Bei itategemea wew unahtaj toka wap na unahtaj kitu gan kivp??

Ka wew n muuzaji wa rejareja wa kuni mtaani (kwasasa ndio biashara yenye faida inato run hapa Dar na kwngneko) tutauletea je unahtaj kias gan fuso dogo kukufkshia mpka hapo itagharimu lak 9 na na itakuwa takbrina kuni 1600 ukiuza buku faida n lak Sabá......

Au unapowew mwenyew unapochkua kuni ila huna lesen bas usiwaze tutakukodshia ila uwe unachukulia pwan huku msanga na kuendelea na kuleta dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mwisho wa siku je hali ikoje majumbani maana watu wanatumia hadharani kuni lakini serikali inapiga vita matumizi kwa kuwadhibiti wauzaji lakini watumiaji wakuu kila siku wanatumia
Pengne hamjaelewa vizur... Inapiga marufuku kwa wale wasokuwa na lesen ya uvunaji miti..... Ingkuwa kila mtu anapigwa marufuku.. Hv sasa tuko kweny mchakato wa kurenew iz lesen zetu ambazo hutolewa na Maliasili na mda wowote ztatoka... Vp wakataze na huk wao ndo wanatoa...... Katazo n kwa wasokua na lesen na wauzaj wa mtaani inabd wasajili sehemu zao ili zjulikane ila n halal mmechangany madawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengne hamjaelewa vizur... Inapiga marufuku kwa wale wasokuwa na lesen ya uvunaji miti..... Ingkuwa kila mtu anapigwa marufuku.. Hv sasa tuko kweny mchakato wa kurenew iz lesen zetu ambazo hutolewa na Maliasili na mda wowote ztatoka... Vp wakataze na huk wao ndo wanatoa...... Katazo n kwa wasokua na lesen na wauzaj wa mtaani inabd wasajili sehemu zao ili zjulikane ila n halal mmechangany madawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa vizuri mkuu nilikuwa namjibu huyo aliekuwa jamaa na mie nilimjibu kama alivyokuwa anafikiria yeye
 
Back
Top Bottom