Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Hivi hawa wahindi wanatutafuta nini?
Ubaya ni kwamba wanawatumia watanzania wenye uroho wa fedha kutuhujumu.
Yani daktari wa muhimbili anaishi kiluvya wakati muhindi ananing'iniza miguu na kula pariki pale upanga,halafu tunajiuliza vifo vya kina mama na watoto vitapungua vipi.
Nchi hii?!!
Ubaya ni kwamba wanawatumia watanzania wenye uroho wa fedha kutuhujumu.
Yani daktari wa muhimbili anaishi kiluvya wakati muhindi ananing'iniza miguu na kula pariki pale upanga,halafu tunajiuliza vifo vya kina mama na watoto vitapungua vipi.
Nchi hii?!!