wahaya kwa kujisifia mpaka mnakela

wahaya kwa kujisifia mpaka mnakela

KUBURI

Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
27
Reaction score
3
Kulikua na kikao cha wazazi kuhusu vijana wetu wanaosoma watu wakachangia ndo ikawa zamu ya mzee mmoja wa kihaya na tulimjua kabila lake kutokana na jina na lafudhi ikawa badala ya kuongea kilochomleta ikaanza kujisifia km nusu saa akataja hadi mshahara anaopokea kazini,alichowauzi watu alisema humu ndani me nnaonekana mdogo kuliko wote lakini me nimkubwa hila kutokana na elimu yangu nnachukua mshahara mzuri nnakula vizuri ndo maana nnaonekana bado kijana kwahyo ndugu zangu wa sisitizeni vijana wenu kusoma,elimu ni mali sana huyo mhaya mpaka anamaliza kuongea kikao watu walibaki nusu watu waliondoka kwa hasira maana aliongea dharau hapa nimeandika machache.tunajua ndugu zetu wahaya mmesoma hila punguzeni dharau kwa watu msiyo wajua.
 
Naamini huu ni utani kwa kuzingatia jukwaa lililotumika kufikisha ujumbe huu!
 
hapa watu watachukulia utani ila kama uko siriasi pasi peleka uzi huu kwenye jukwaa jengine.
Nalog off
 
Hata wewe UNAKELA...!kwani kikumacho ni kipi sasa!!!!!
 
Mhaya anaefanyia mochwari"
mimi: mambo vipi mkubwa, hapa ofisini uko kama nani?
Mhaya: asante sana mimi ni mtaalam wa kudeal na watu ambao madaktari wameshindwa kazi

mmmmmmmmmmmh hawa jamaa ni noma sana kujisifia:tonguez:
 
Mhaya anaefanyia mochwari"
mimi: mambo vipi mkubwa, hapa ofisini uko kama nani?
Mhaya: asante sana mimi ni mtaalam wa kudeal na watu ambao madaktari wameshindwa kazi

mmmmmmmmmmmh hawa jamaa ni noma sana kujisifia:tonguez:
Hao watu wote wanaotajwa kwenye nyimbo hii kawahudumia yeye.

Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Mnakela ndo nini? Shule za kata hizi zina majanga sana
 
ila wahaya walio wengi wanapenda show off akipata kiji-kazi tu cha mshahara lazima atakiongelea wee. kuna jamaa wa kihaya alipata kazi ya professional kwa mara ya kwanza, mshahara wake wa kwanza tu akaenda kufanya windw shopping ya private jet. nilichekajeee
too much majigambo yanapunguza stimu ya kohkohkoh (sorry nimepaliwa)
 
Namna hii kusiwe na division 5!!! Mnakela ndo nini au ulitaka kusema mnakera
 
Back
Top Bottom