Ni Ancestry moja, na wote wanaongea kwa kutumia "clicking sounds".Habari Jf bango linajieleza kuna tofauti kati ya wale katika filamu na wa hapa nchini?
Ilivunja mbavu sanaNi Ancestry moja, na wote wanaongea kwa kutumia "clicking sounds".
Kati ya filamu ambazo zilishawahi kuweka record ya kunichekesha katika maisha yangu, ni part I ya hii picha.
Yule mzee wa Kiarabu nadhani anaitwa Mpugi. Yuko anasukuma Landrover ili liwake halafu akasema "YESTERDAY, IT TOOK A HORSE AND TWO MEN TO START THE CAR". Bado kuna yule mzungu mwenye phobia kwa akina mama, nadhani Aanaitwa MR STAIN. Mbavu huwa zinauma kwa hii pichaIlivunja mbavu sana